Al_morinaga
Member
- Mar 17, 2012
- 38
- 2
Da mkuu zari la mental hilo,sasa fanya vipi weka wave piga mascrub piga mapooda sana uwe soft then lipuka mapamba ya ukweli sio ya kichina,nenda gym ujenge 6packs na stamina,then mwambie akutumie mkwanja uende uganda,then ukilala nae simamia show kisawasawa mpake adate,ukifanya hvyo basi ushamtia uchizi hata ukitaka gari atakupa coz kwa wafanyakazi wa bank mikopo kwao ni easy sana.
kuhusu hayo usitie shaka..mi bonge la mtanashati kaka