Kuna ukweli wowote hapa kwamba.......

Mm mbn ninasura nzuri na pia ninaroho nzuriii
 
hii ni kweli japo kwa asilimia chache
 
UTAFITI HUU ULIHUSISHA JAMII YA WATU WA WAPI???!!!!!SURA NI KAMA PAPUCHI MKUU HAINA KABILA NA UTAMU WAKE NI ULEULE ILA LADHA TOFAUTI
 
Kuna ukweli wowote hapa kwamba Watu wenye roho nzuri sana maishani huwa na Sura mbaya / zisizo na Mvuto ila wale wenye roho mbaya, wakatili, wezi na wanafiki huwa na Sura nzuri / zinazovutia sana?

Naomba kuwasilisha na nitashukuru kwa majibu yenu.
wengine hawatabiriki
 
Yes ukweli upo na tafiti zishafanywa... Asilimia kubwa ya watu makatili, wenye roho mbaya na matukio yakustajabisa wanakuwa na baby face... Sura nzuri, zenye mvuto...

Wenye sura mbovu, chachu, mbaya mara nyingi wanakuwa ni watu wenye mioyo ya huruma sana...


" Don't get deceived by the look "


Cc: mahondaw
 

Smart911 My man has a handsome face plus a very kind hearted person .... Haha you know what i mean
He's my pride ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…