Kuna ukweli wowote kuhusu maagano ya damu katika mahusiano?

Kuna ukweli wowote kuhusu maagano ya damu katika mahusiano?

Kifulu

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
557
Reaction score
2,064
Nimeona baadhi ya movie kadhaa hasa za kinaijeria zenye content kuhusu maagano..

Sasa nakuja kwenu wakuu je maagano haya HUwa yanaukweli wowote ??

Yanaweza kwenda na negative impact kama yatavunjwa??

Natanguliza shukran
 
Wengine watakwambia agano la damu ni kuvunja "bikra" 😂 watu weusi tuna justifications za mambo ya ajabu sana.
 
Ukikutanisha kitovu wakati wa ngono ujue mmebadilisha nguvu za kiroho, hata kama ni kahaba Kuna maagano mnakuwa mmeingia bila kujua
 
Kuna jamaa yangu,alikuwa ana date na mtoto wa mchungaji jamaa hajui hili wala lile,jamaa akaitwa church na huyo demu! Alipoenda dem akamkuta yupo peke yake, ana kikombe cha maji na sindano,wamekaa weee kisha demu akamuingizia mada ya agano la damu! Jamaa akakubali, demu akamchoma na sindano mkononi kisha binti nae akajidunga wakachanganya damu wakanywa, aise aliponisimulia nilishangaa na kuona kuwa jamaa na huyo binti basi mpaka kifo. Ila kwa sasa jamaa anasema ilikuwa ni upuuzi tu manake wana miaka mitatu sasa hawana mawasiliano na kila mtu ana maisha yake.
 
Kuna jamaa yangu,alikuwa ana date na mtoto wa mchungaji jamaa hajui hili wala lile,jamaa akaitwa church na huyo demu! Alipoenda dem akamkuta yupo peke yake, ana kikombe cha maji na sindano,wamekaa weee kisha demu akamuingizia mada ya agano la damu! Jamaa akakubali, demu akamchoma na sindano mkononi kisha binti nae akajidunga wakachanganya damu wakanywa, aise aliponisimulia nilishangaa na kuona kuwa jamaa na huyo binti basi mpaka kifo. Ila kwa sasa jamaa anasema ilikuwa ni upuuzi tu manake wana miaka mitatu sasa hawana mawasiliano na kila mtu ana maisha yake.
Kumbe ni habari za uongo mtupu
 
Back
Top Bottom