Kuna ukweli wowote kuhusu salamu ya jamii huendana na uchumi wao

Ngw'angaluka, ngw'amisha kinehe....mtoa mada nitafsrie tafadhali..
 
Sasa suala LA jamii katika Habari za Asubuhi na good morning liko wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 



Shikamoo ni maneno mawili yaliyofungamanishwa nayo ni haya; shika moo, shika maana yake ni hii ya kiswahili "kushika kitu" na "moo" maana yake ndiyo miguu, hivyo basi mtu anaposema (anapoamkia) shikamoo maana yake yeye ndiye anayeomba ashikwe miguu, yaani shikamoo= shikamiguu.

Kama Wakubwa wanapenda kusalimiwa shikamoo hiyo ni shauri yao, mimi napenda maamkizi ya "Assalam aleykum au Amani iwe kwenu"--- Salamu hii imefundishwa na Yesu na Muhammad, (amani ziwe juu yao.).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…