mtoto wa kipare
Senior Member
- Jan 3, 2018
- 187
- 196
Asante MkuuNi kweli inaitwa vaginal Leukorrhea anatoa uchafu unakua mwembamba na kama maziwa hivi
Ila nakushauri umpeleke kituo jirani cha afya au akienda clinic awaambie hilo tatizo maana kuna fungus pia anasababisha kutokwa na uchafu mweupe
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hakuna ukweli. Kama unapata hivyo vitu, wahi matibabuHabari za jumapili wakuu.
Naombeni kujua ili kuondoa Utata, Eti pana ukweli wowote kwamba mwanamke akiwa ameshika ujauzito kwamba ataanza kupata Na muwasho katika sehemu zake za Siri, Nikiwa Na maana kutokwa Na uchafu mweupe ambao upo kama mtindi?????
Je, pana ukweli wowote hapo.
Nawasilisha!!
Sent using Jamii Forums mobile app