mtoto wa kipare
Senior Member
- Jan 3, 2018
- 187
- 196
Habari za jumapili wakuu.
Naombeni kujua ili kuondoa Utata, Eti pana ukweli wowote kwamba mwanamke akiwa ameshika ujauzito kwamba ataanza kupata Na muwasho katika sehemu zake za Siri, Nikiwa Na maana kutokwa Na uchafu mweupe ambao upo kama mtindi?????
Je, pana ukweli wowote hapo.
Nawasilisha!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naombeni kujua ili kuondoa Utata, Eti pana ukweli wowote kwamba mwanamke akiwa ameshika ujauzito kwamba ataanza kupata Na muwasho katika sehemu zake za Siri, Nikiwa Na maana kutokwa Na uchafu mweupe ambao upo kama mtindi?????
Je, pana ukweli wowote hapo.
Nawasilisha!!
Sent using Jamii Forums mobile app