Kuna ukweli wowote

Kuna ukweli wowote

Mehek

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2017
Posts
7,473
Reaction score
10,426
Habari za Leo wana chit chat
.........Je, ni kweli mwanaume akiwa amechoka Sana wakati wa tendo la ndoa uume unaweza usisimame kwasababu ya uchovu alionao?????



NOTE: jibu swali km lilivyoulizwa km unafahamu chochote... Kama huelewi kaa kmy kuepuka BANNED zisizo za lazima[emoji4] !!!!!
 
Hanithiiiiiiiii huyoooo [emoji468] [emoji468] [emoji468]
 
Inategemeana.

Kugegedana ni kazi kama ilivyo zingine. Kama umechoka alafu ukapewa jembe ulime tena kwa wakati huo, hakika hutaliweza au utalilima kivivu sana kutokana na Uchovu.

Dushe kusimama pia hutegemeana na Hali ya kisaikolojia na kimwili ya mwanaume husika. Kama ana stress ambazo pia husababisha uchovu mwingi ni dhahiri kuwa hataweza kusimamisha...
 
Ndio inawezekana kabisa

Maana kusimama kwa Dushe inategemeana hali ya kisaikolojia ipoje km hayupo huwezi kudinda kamwe.
 
Habari za Leo wana chit chat
.........Je, ni kweli mwanaume akiwa amechoka Sana wakati wa tendo la ndoa uume unaweza usisimame kwasababu ya uchovu alionao?????



NOTE: jibu swali km lilivyoulizwa km unafahamu chochote... Kama huelewi kaa kmy kuepuka BANNED zisizo za lazima[emoji4] !!!!!

Ni kweli ' Mkuyenge / Uume ' huwa hausimami tena vizuri ila ' Kengele / Pumbu ' zenyewe huwa ' zinakakamaa ' sana.
 
Ni kweli akiwa amechoka huwa haisimami kabisa

Nimependa NOTE yako [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] weeeee saivi tunaandika kwa makini sana saivi ukikosea kaneno kadogo tu ban[emoji4]
 
Inategemeana.

Kugegedana ni kazi kama ilivyo zingine. Kama umechoka alafu ukapewa jembe ulime tena kwa wakati huo, hakika hutaliweza au utalilima kivivu sana kutokana na Uchovu.

Dushe kusimama pia hutegemeana na Hali ya kisaikolojia na kimwili ya mwanaume husika. Kama ana stress ambazo pia husababisha uchovu mwingu ni dhahiri kuwa hataweza kusimamisha...
Okay

Vipi mzima wewe??? Anae kupa jeuri hajambo??![emoji4] kazi kutesa watoto wa wanaume wenzio?!!!!![emoji125]
 
Back
Top Bottom