Aaaa kuumia roho ndiyo wivu wenyewe
......na mda sijaenda PM yangu kitambooo ngoja niende huko naweza kupata chochote[emoji124] .........siunajua mtembea bure si sawa na mkaa buree........[emoji4]
[emoji23] [emoji23] Aisee hebu sema tuone.Oooh oky tanteee ......
......nataka nikuchukulie mfano wewe uko tayariii.....
.........[emoji85] [emoji23]
Oooh Shemeji yetu inaonekana Yuko vizurii asee mpk morning si mchezooo[emoji4]Me sidhani nahc akichoka ndo anazd kutaka mchezo. Nilipokua na mume wangu alikua akichoka sku iyo ndo mchezo mpk morning anasema anarelax , so may be inategemea ntu na ntu.
Yeah!Daby sio kawaida yakeOooh na Daby sikawaida yke!!! Espy kuna mahala nimemuona mda si mrefuuu
Kuna posts moja hevi niliiona sikumbuki nani alipost kuhusuu kuna mtu humu Jf mkewe kaongezaa mtoto.... Nikahisi... Lbd atakuwa yeyee maana baada ya ile post na daby akatowekaaa!!..!!!??!!!.Yeah!Daby sio kawaida yake
Sijamuona kama wiki mbili hivi
Mbn yakinyongee[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Weeeeweeee naona unitakii memaaa nikafanye practical na myanyua vyumu unataka nikimbie bila kyupi....eeee[emoji4]
ni kweliHabari za Leo wana chit chat
.........Je, ni kweli mwanaume akiwa amechoka Sana wakati wa tendo la ndoa uume unaweza usisimame kwasababu ya uchovu alionao?????
NOTE: jibu swali km lilivyoulizwa km unafahamu chochote... Kama huelewi kaa kmy kuepuka BANNED zisizo za lazima[emoji4] !!!!!