BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,913
Mchukue. Niungie bando la mwaka tu ndiyo mahari yake
Nani kakudanganyaaa acheni kukariri
HahahhahThat's greating, just hi. Haujambo. Darasani ulinikimbia.
Yaani mimi hadi natokwa na ukungu kichwani. Haya niambie
Zawadi ndiyo hiyo mmeo.Yani babu umerudii badala ya kutoa vizawadi ulivyokuja navyo. Unaanza tena kuniozeshaa tena kwa lazimaa huko sijui umetoka wapi???...... Maana si kwakutekwaa hukooo
.
Yani babu umerudii badala ya kutoa vizawadi ulivyokuja navyo. Unaanza tena kuniozeshaa tena kwa lazimaa huko sijui umetoka wapi???...... Maana si kwakutekwaa hukooo
.
Hewaala kazi kwako.[emoji23][emoji23] ntaongeza lingine kila mwaka mkuu,nimeokota embe kweny mnazi,..
Zawadi ndiyo hiyo mmeo.
Kumbuka tu kuna laana.
Jiheshimu. Shangazi Ukimwona mwambie namwita[emoji15] yule mzigua???? Maana km ndiyo yuleee umekwishaaa babu yangu
.....cc:espy
Ahahah[emoji15]
Ili iweje
Ninong'oneze basiTeh teh teh nilichokuwa nakitaka nimekipataaa
Hahahhah
ukungu wa kichwani uko vipi?
Mi nilikumiss hadi nikasema leo sili nisipokuona humu [emoji14]
Alafu darasani kila siku unanighairishia vipindi asee