HahahhhHaha. Jiongeze basi J maswali gani hayo na utuuzima huu nitafunguka yote. Ohooo.
Teh. Basi fanya kuagiza lunch hotel yoyote ya karibu . Bill andika Daby.
Basi hiyo lugha tuachane nayo tuanze kimasai
Sijui kwanini umekuwa unanificha kabila lako.Hahahhh
Nilijua tu hutoweza kuuelezea huo ukungu
Em tujaribu kimasai tukimaliza nakuja cha kwetu kuleee
Sikutaki ukinioa kwa lazimaaa ujue umekwishaaa[emoji4] [emoji4]
Usirudi[emoji34] mume unanichagulia au nachagua mwenyewee??? Ngoja nikamuite shangaziii[emoji125]
Cc:espy popote ulipo huku nimeletewa mume eeeee
Unalijua buanaSijui kwanini umekuwa unanificha kabila lako.
Xuuuuuu koma.......... Mwambie km kuolewa raha atwende na yeye tukaolewe wotee[emoji34] [emoji34] [emoji34]
Sitaki kuamini.Ni kweli uume nao unachoka[emoji23]
Naona umekua muoga wa ban
Mmmh, karibia na kwetu amaUnalijua buana
We huoni hata sura angu ile inajielezea mixer naniliu na naniliu [emoji6] [emoji6]
Hahahaha sawa Dada Jiranii[emoji23] [emoji23] [emoji23] haya Pole Jirani maana keshoo najua utaniita binamu
Kuamini nini tena my Daby?Sitaki kuamini.
[emoji57] [emoji57] [emoji57] fyuuuuuu
Sidhani. . .nahisi ni mbaliMmmh, karibia na kwetu ama