Kuna ulazima gani wa Yanga kusajili wachezaji 10 wa kigeni?

Franky Samuel

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2018
Posts
5,195
Reaction score
13,785
Jana nilikua namsikiliza mshindo msolwa akiongea kuwaomba mashabiki wa yanga kuchangia bakuli ili waweze kusajili wachezaji 2 wakigeni ambao ukijumlisha na wachezaji 8 ambao tayar wameshasajiliwa.

Swali langu mim kama shabiki wa yanga kama hela hamna za usajili kwanini tulazimishe wachezaji 10 na je mishahara yao nani atalipa au bakuli litakua linapita kila mwezi?
 
Jumla mtakuw na wachezaji kumi na moja wa kigeni pamoja na Morison mnayeaminishwa mnamkatia rufaa fifa
 
Kwanza Mwenyekiti wa Yanga jina lake umelikosea ...jina lake ni Mshindo Msola na siyo Msolwa....halafu hilo unaloita bakuli inaonesha ni jinsi gani unavyokebehi juhudi za wanayanga kuchangia maendeleo yao...mbona michango ya madawati ujenzi wa shule na zahanati hamuiti bakuli?!? Hata michango ya harusi hamuiti bakuli ...
 
Yanga wametema wachezaji wengi sana mkuu,hivyo hawana budi kufanya replacement
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…