Hahahh haka kafeeling kanauchoma moyo aseeeeWanaume wanaosema usioe Mwanamke mwenye mtoto siwapingi aisee think umeowa mwanamke umemkuta na watoto halafu inafika Jumapili anakwambia nampeleka mtoto kwa baba yake anahitaji kumuona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile feeling
Ila msishahu mwanaume anayetakiwa kukataa Single mother ni yuke asiye na mtoto tu, kama una mtoto hii haikuhusu
Wanaume wanaosema usioe Mwanamke mwenye mtoto siwapingi aisee think umeowa mwanamke umemkuta na watoto halafu inafika Jumapili anakwambia nampeleka mtoto kwa baba yake anahitaji kumuona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile feeling
Ila msishahu mwanaume anayetakiwa kukataa Single mother ni yuke asiye na mtoto tu, kama una mtoto hii haikuhusu
Mpk Leo napata kaukakasi kakua na mke wanapasha viporo hao😂😂😂Don't try this again
WeeeeehNgoja nmtetee huyu single mother wangu.
Sio wote wapo hvy, kuna baadhi wanaojitambua na hawawezi kurudia kosa pale wanapopata mtu mwingine wa kuwa nae.
N ngumu kumuamini kwenye hy ishu mana tayar ameshazaa nae, ila ww kama mwanaume n kumuwekea limit tuu kwenye hiyo ishu na kama mwanamke anajitambua n lazima afuate unachomwambiaWeeeeeh
Hata kama una mtoto kataa Singo maza, Kwenye vikao huwa hauhudhurii?Wanaume wanaosema usioe Mwanamke mwenye mtoto siwapingi aisee think umeowa mwanamke umemkuta na watoto halafu inafika Jumapili anakwambia nampeleka mtoto kwa baba yake anahitaji kumuona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile feeling
Ila msishahu mwanaume anayetakiwa kukataa Single mother ni yuke asiye na mtoto tu, kama una mtoto hii haikuhusu
Apa bado aijafika mkichwa😆N ngumu kumuamini kwenye hy ishu mana tayar ameshazaa nae, ila ww kama mwanaume n kumuwekea limit tuu kwenye hiyo ishu na kama mwanamke anajitambua n lazima afuate unachomwambia
Ngoja nisubir 😎Apa bado aijafika mkichwa😆