Kuna ule msemo "Nawapeleka watoto wakamuone baba yao"

Kuna ule msemo "Nawapeleka watoto wakamuone baba yao"

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Wanaume wanaosema usioe Mwanamke mwenye mtoto siwapingi aisee think umeowa mwanamke umemkuta na watoto halafu inafika Jumapili anakwambia nampeleka mtoto kwa baba yake anahitaji kumuona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile feeling

Ila msishahu mwanaume anayetakiwa kukataa Single mother ni yuke asiye na mtoto tu, kama una mtoto hii haikuhusu
 
Wenye heshima kdg kama kuna mzazi anakaa mji huohuo atakua anawapeleka kwa bibi/babu yao na huyo mzazi mwingine anawafata huko, kunakua hakuna direct contact au hata kama kuna ndugu mwengine aidha shangazi,mjomba, baba wadogo/wakubwa watoto wanapelekwa huko na huyo mzazi mwingine ndo anawafata huko
 
Wanaume wanaosema usioe Mwanamke mwenye mtoto siwapingi aisee think umeowa mwanamke umemkuta na watoto halafu inafika Jumapili anakwambia nampeleka mtoto kwa baba yake anahitaji kumuona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile feeling

Ila msishahu mwanaume anayetakiwa kukataa Single mother ni yuke asiye na mtoto tu, kama una mtoto hii haikuhusu
Hahahh haka kafeeling kanauchoma moyo aseeee
 
Wanaume wanaosema usioe Mwanamke mwenye mtoto siwapingi aisee think umeowa mwanamke umemkuta na watoto halafu inafika Jumapili anakwambia nampeleka mtoto kwa baba yake anahitaji kumuona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile feeling

Ila msishahu mwanaume anayetakiwa kukataa Single mother ni yuke asiye na mtoto tu, kama una mtoto hii haikuhusu
 
Wanaume wanaosema usioe Mwanamke mwenye mtoto siwapingi aisee think umeowa mwanamke umemkuta na watoto halafu inafika Jumapili anakwambia nampeleka mtoto kwa baba yake anahitaji kumuona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile feeling

Ila msishahu mwanaume anayetakiwa kukataa Single mother ni yuke asiye na mtoto tu, kama una mtoto hii haikuhusu
Hata kama una mtoto kataa Singo maza, Kwenye vikao huwa hauhudhurii?
 
Kwani ukiwa na mtoto hatasema nataka nimpelekee baba yao watoto
 
Back
Top Bottom