Ulimwengu wa Roho ni mpana...
Na kila mtu ana kiwango chake cha kuona kulingana na Mungu alivyomjalia...
Wengine ni waota ndoto, wengine wanamaono...
Huko kuna watu kama wewe, kuna wachawi, wanyama, mizimu, wapo
Nikianza na vita, kila mtu anavita vyake ambavyo anapigana navyo uwe unaona huoni ila unavyo...
Kuna neno linasema kupigana kwetu sio kwa damu na nyama bali ni kwa Roho...
Huko kwenye Ulimwengu wa Roho, kuna vita ya wewe na wakuu wa giza, hapa na wewe unaona majeshi ni kama watu wakati mwingine uweza ona wanyama ila unapigana nao kama una nguvu za Rohoni unawapiga na unashinda kama huna nguvu unashindwa...
Kuna kushinda na ukishinda kule na huku Ulimwengu wa mwili umeshinda...
Kuna mambo yajayo...
Hapa kama kuna jambo linataka kutokea Liwe zuri au baya kwako, familia, jirani, nchi unaona...
Kwasasa mimi ninaona mpaka yatayotekea nchini...
Kusema nogopa...