Kuna ulimwengu usioonekana?

Niliota kuna jamaa kaniwekea sumu kwenye beer ya seringeti, kesho yake sikwenda kijiweni, nilipofanya utafiti wa kina nikagundua kulikuwa na huo mapango. Sasa nimehama kijiwe, ndoto ni ulimwengu wa roho, unaweza kutonywa na mababu zako.
Hiyo ilikuwa ndoto maono
 
Kuna mtu mmoja ambae nina uwezo wa kutamka kitu leo kumuhusu kesho tukiona anakuja kunithibitishia nilioyasema jana bila kufahamu kinaendelea nini kwake.

Hii imekaaje mkuu?
 
Niliwahi kuota marehem mama ananikataza kutumia mafuta ya nabii fulani,mpaka leo siyatumii kabisa
 
Mara nyingi zinanijia kumbukumbu kwamba niliwahi kuishi zamani,na maeneo huwa nayakumbuka vyema ila sasa..........daah
 

Nilimuomba Mungu akanipa uwezo huu wa kuona ktk Ulimwengu wa Roho na Sasa ninaona...

Ni Raha sana ila inabidi uombe hekima
DOMSHA School of Spiritual Awakening
Nataka nianze chekechea
 
Unapokuwa umelala roho huacha mwili na kwenda kuzurura huko kwenye huo ulimwengu. Sio wote huwatokea hii hali ila kuna ndoto unaota unajua kabisa umefanya jambo flani na ulikuwa na ufaham wako ila kukicha unagundua ni ndoto.
Mfano mm huwa naota napaa angani na huwa nipo nusu nimelala na nusu nipo macho. Ila nikiamka nagundua nlikua naota na unajihisi kabisa 7naweza kupaa
 
Naweza kusomea hayo mambo?
 
Tupe somo mkuu

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Aisee!
 
Ningependa haya yote uliyoyaeleza, niyapate kwa ufafanuzu mzuri, maana ni elimu kubwa sana hii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…