Hiyo ilikuwa ndoto maonoNiliota kuna jamaa kaniwekea sumu kwenye beer ya seringeti, kesho yake sikwenda kijiweni, nilipofanya utafiti wa kina nikagundua kulikuwa na huo mapango. Sasa nimehama kijiwe, ndoto ni ulimwengu wa roho, unaweza kutonywa na mababu zako.
Si wa kiroho bali uko katikati ya kiroho na kimwili na pengine huo ndio unapokea cords toka kwenye ulimwengu wa roho na kuzibadili na kuzitafsiri kwenye ulimwengu wa kimwili.
Niliwahi kuripoti kituo cha polisi wiki nzima lakini hiki kituo hakikuwa halisi... Yaani kila fahamu zikinijia nilijikuta tayari nimetoka kuripoti ila sikujua kwa mashtaka gani.
Nitaendelea
DOMSHA School of Spiritual AwakeningNilimuomba Mungu akanipa uwezo huu wa kuona ktk Ulimwengu wa Roho na Sasa ninaona...
Ni Raha sana ila inabidi uombe hekima
Anza tu ila ujiandae kuwa na moyo mgumu...DOMSHA School of Spiritual Awakening
Nataka nianze chekechea
Ulimuota mama ndotoni ni sawa na kumwona Mungu.Atakalokwambia ni dhahiri kabisa kama hamna fumbo.Niliwahi kuota marehem mama ananikataza kutumia mafuta ya nabii fulani,mpaka leo siyatumii kabisa
Naweza kusomea hayo mambo?Ulimwengu wa Roho ni mpana...
Na kila mtu ana kiwango chake cha kuona kulingana na Mungu alivyomjalia...
Wengine ni waota ndoto, wengine wanamaono...
Huko kuna watu kama wewe, kuna wachawi, wanyama, mizimu, wapo
Nikianza na vita, kila mtu anavita vyake ambavyo anapigana navyo uwe unaona huoni ila unavyo...
Kuna neno linasema kupigana kwetu sio kwa damu na nyama bali ni kwa Roho...
Huko kwenye Ulimwengu wa Roho, kuna vita ya wewe na wakuu wa giza, hapa na wewe unaona majeshi ni kama watu wakati mwingine uweza ona wanyama ila unapigana nao kama una nguvu za Rohoni unawapiga na unashinda kama huna nguvu unashindwa...
Kuna kushinda na ukishinda kule na huku Ulimwengu wa mwili umeshinda...
Kuna mambo yajayo...
Hapa kama kuna jambo linataka kutokea Liwe zuri au baya kwako, familia, jirani, nchi unaona...
Kwasasa mimi ninaona mpaka yatayotekea nchini...
Kusema nogopa...
Yawezekana hiyo ajali ilipangwa katika ulimwengu wa roho?Wakuu nitarejea kuendelea, jana jioni nilipata ajali na mkono wa kulia ndio umeumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe somo mkuuTunaishi ulimwengu huu. Baada ya hapa ipo Astral World. Halafu ipo Brahma World. Hapa ndipo wanapokwenda watu baada ya kufa hapa duniani. Baada ya hapo ipo Patra World, ambapo ndio wapo watu waliopiga hatua zaidi, kama vile Aristotle, Socrates, Leonardo da Vinci, Winston Churchill, na wengineo. Halafu bado, inaendelea. Zipo dimensions nyingine.
Aisee!Si wa kiroho bali uko katikati ya kiroho na kimwili na pengine huo ndio unapokea cords toka kwenye ulimwengu wa roho na kuzibadili na kuzitafsiri kwenye ulimwengu wa kimwili.
Niliwahi kuripoti kituo cha polisi wiki nzima lakini hiki kituo hakikuwa halisi... Yaani kila fahamu zikinijia nilijikuta tayari nimetoka kuripoti ila sikujua kwa mashtaka gani.
Nitaendelea
Ningependa haya yote uliyoyaeleza, niyapate kwa ufafanuzu mzuri, maana ni elimu kubwa sana hii!Tunaishi ulimwengu huu. Baada ya hapa ipo Astral World. Halafu ipo Brahma World. Hapa ndipo wanapokwenda watu baada ya kufa hapa duniani. Baada ya hapo ipo Patra World, ambapo ndio wapo watu waliopiga hatua zaidi, kama vile Aristotle, Socrates, Leonardo da Vinci, Winston Churchill, na wengineo. Halafu bado, inaendelea. Zipo dimensions nyingine.