venance H
Member
- Jan 27, 2013
- 41
- 24
Baadhi ya Wajumbe wa kamati ya kuchunguza matokeo mabaya ya kidato cha nne iliyoundwa na mh pinda walibabaini kuwa ,
kiwango kidogo cha Elimu(diploma) kwa wakuu wa shule ni Moja ya sababu iliyochangia matokeo hayo. Lakini baadae mhe rais alimteua naibu waziri wa elimu mwenye Elimu ya diploma. Hii ni imekaaje?
kiwango kidogo cha Elimu(diploma) kwa wakuu wa shule ni Moja ya sababu iliyochangia matokeo hayo. Lakini baadae mhe rais alimteua naibu waziri wa elimu mwenye Elimu ya diploma. Hii ni imekaaje?