Kuna umuhimu gani wa kulipia king'amuzi wakati umeme hakuna?

Kuna umuhimu gani wa kulipia king'amuzi wakati umeme hakuna?

KAGAMEE

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
4,457
Reaction score
5,454
Wakuu habari zenu.Mimi siyo mwanasiasa japo siasa naona inanishindisha giza na kunilaza giza.Ndani ya siku 30 nilizolipitia king'amuzi changu cha AZAM nakadiria kutumia bandle hilo kwa siku 11 tu. Siku zingine umeme hakuna.

Sijui wenzangu mnaiona hiyo hasara wanayonipatia TANESCO
 
Back
Top Bottom