Kuna umuhimu gani wa kulipia king'amuzi wakati umeme hakuna?

KAGAMEE

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
4,457
Reaction score
5,454
Wakuu habari zenu.Mimi siyo mwanasiasa japo siasa naona inanishindisha giza na kunilaza giza.Ndani ya siku 30 nilizolipitia king'amuzi changu cha AZAM nakadiria kutumia bandle hilo kwa siku 11 tu. Siku zingine umeme hakuna.

Sijui wenzangu mnaiona hiyo hasara wanayonipatia TANESCO
 
Mkuu acha uchochezi,wapi ambako hakuna umeme nchi hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…