donald mickhitarian Senior Member Joined Apr 22, 2017 Posts 120 Reaction score 47 Jun 7, 2017 #1 Hivi kuna umuhimu gani wa Mbwana Samata kuparticipate kwenye team ya taifa ili aisaidie kufuzu CHAN wakati Hachezi... Hatuoni kwamba itaawafanya wabweteke
Hivi kuna umuhimu gani wa Mbwana Samata kuparticipate kwenye team ya taifa ili aisaidie kufuzu CHAN wakati Hachezi... Hatuoni kwamba itaawafanya wabweteke
Galapagosi JF-Expert Member Joined Apr 21, 2017 Posts 2,848 Reaction score 2,637 Jun 8, 2017 #2 Kila mchezaji anaumuhimu kwenye team yake ya taifa mkuu
donald mickhitarian Senior Member Joined Apr 22, 2017 Posts 120 Reaction score 47 Jun 8, 2017 Thread starter #3 Galapagosi said: Kila mchezaji anaumuhimu kwenye team yake ya taifa mkuu Click to expand... Sawa mkuu lakini kwenye tounerment hatokuwepo
Galapagosi said: Kila mchezaji anaumuhimu kwenye team yake ya taifa mkuu Click to expand... Sawa mkuu lakini kwenye tounerment hatokuwepo
Mtoto wa nzi JF-Expert Member Joined Jun 6, 2012 Posts 10,017 Reaction score 18,537 Jun 8, 2017 #4 donald mickhitarian said: Sawa mkuu lakini kwenye tounerment hatokuwepo Click to expand... Kuna mechi mbili mbele Kuna ya CHAN na Kuna ya AFCON..... Unaongelea mbwana mbwana kwani Ulimwengu ni wa Mtibwa!!!???
donald mickhitarian said: Sawa mkuu lakini kwenye tounerment hatokuwepo Click to expand... Kuna mechi mbili mbele Kuna ya CHAN na Kuna ya AFCON..... Unaongelea mbwana mbwana kwani Ulimwengu ni wa Mtibwa!!!???
M mdanku Member Joined Apr 24, 2017 Posts 6 Reaction score 8 Jun 8, 2017 #5 Mbwana hachezi mashindano ya CHAN bali AFCON ambayo tunacheza Na Lesotho jumamosi saa 2 usiku uwanja wa Chamazi lakini je Samatta ameshakuja?
Mbwana hachezi mashindano ya CHAN bali AFCON ambayo tunacheza Na Lesotho jumamosi saa 2 usiku uwanja wa Chamazi lakini je Samatta ameshakuja?