donald mickhitarian
Senior Member
- Apr 22, 2017
- 120
- 47
Hivi kuna umuhimu gani wa Mbwana Samata kuparticipate kwenye team ya taifa ili aisaidie kufuzu CHAN wakati Hachezi... Hatuoni kwamba itaawafanya wabweteke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu lakini kwenye tounerment hatokuwepoKila mchezaji anaumuhimu kwenye team yake ya taifa mkuu
Kuna mechi mbili mbele Kuna ya CHAN na Kuna ya AFCON..... Unaongelea mbwana mbwana kwani Ulimwengu ni wa Mtibwa!!!???Sawa mkuu lakini kwenye tounerment hatokuwepo