pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Thanks
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks
Ungetoa na mawasiliano mzee tukiwa tunakuhitaji ni rahisi kukupata ...somo limekaa pouwa sana mtaalamuKwanza kabisa naomba radhi kwa sababu thread kidogo ni ndefu. Lakini ni muhimu kuisoma kwa sababu inaweza ikaokoa gharama kubwa au hata kuokoa maisha yako.
Sasa tuendelee...
ungetoa na mawasiliano mzee tukiwa tunakuhitaji ni rahisi kukupata ...somo limekaa pouwa sana mtaalamu
Kwani uko wapi Mkuu, mbona naona "ukija..., ukija"?
Utakua wapi mkuu?Nakuja Dar kesho mkuu.
Utakua wapi mkuu?
Saa ngapi maana nakuhitaji sana kuna jagari mafundi wanasema kana shida kwenye engen lakini hawasemi ni niniMagomeni Mwembechai
Hahaha, Mkuu nilikuuliza uko wapi nikiwa na maana "yawezekana nilikuwa huko ulikokuwa, kabla ya kwenda Dar es Salaam". Lakini sio mbaya, naona wewe uko na hamu ya wa Daslam.😀Nakuja Dar kesho mkuu.
Hahaha, Mkuu nilikuuliza uko wapi nikiwa na maana "yawezekana nilikuwa huko ulikokuwa, kabla ya kwenda Dar es Salaam". Lakini sio mbaya, naona wewe uko na hamu ya wa Daslam.😀
Saa ngapi maana nakuhitaji sana kuna jagari mafundi wanasema kana shida kwenye engen lakini hawasemi ni nini
Hydraulic brake imeunganishwa na engine siku hizibrake zote zinategemea nguvu kutoka kwenye engine
Kuna kitu inaitwa Brake booster... ifatilie hiyo utajua engine inahusianaje na brake,Hydraulic brake imeunganishwa na engine siku hizi
Ndio BossHii huduma bado inapatikana..?!