B_E
Ningejikaza kisabuni..halafu ningemjibu.." uliona wengi baba, lakini hapa kwangu ndo breki yako..mwisho wa njia! "
Ila uongo si kazi..ningeumia sana rohoni na ningemchukia sana!
Asanteni kwa hii mada maana naona imelenga kwangu kabisaaaaaa...hivi unajua haya mambo huwa hivi hivi kimchezo chezo tuu. Kama mimi kuna siku tulikuwa na fight na mr. khs maswala ya unyumba hanilidhishi na fwezaaa. Kwanza nikamuliza vp khs something mbona cku hizi imekuwa hadimu na mimi nahiitaji! mweee, nililoambiwa kama nimeona hanilidhishi nikatafute wakunilidhisha, yeye anaona kama hawezi...mbona palikuwa hapakaliki. Kwa mahasila niliyokuwa nayo nikamwambia cjawahiiii toka nianze kutembea na wanume (yani nikamwambia talehe na mwaka nilioanza kujua wanaoume) ckuwahi kusikia hilo tamko. Nyie acheni kabisa na haya maswala yanaletaga matatizo hivi hivi.
jamani... hii mada!
Labda niulize swali kwa akina baba/kaka
Hivi kwanini mnapenda kujua ya zamani? Ukishajua ili ufanyeje? wanawake wengi hawatakuambia ng'oo maana wanajua hiyo info utakuja kuitumia baadae against them.Ni kama mlinzi wa amani anapochukua maelezo yako ya ziada - tofauti ni kuwa nakutahadharisha kuwa hayo maelezo baadae yanaweza kutumika kama ushahidi mahakamani!
"MAHAKAMA za wenye ndoa" - huwa ni chumbani..usiombe!! - ni mtuhumiwa na hakimu/jaji hakuna cha shahidi wala nini! Je haki hapo itatendeka? Mshtakiwa/mtuhumiwa akiona kesi inamwelemea anaruka dhamana potelea pote maana hata hiyo dhamana anajipa mwenye maana haipo!
Historia siku zote ni muhimu kwani historia huwa ina tabia ya kujirudia. Be careful. Kudharau historia, ni kwenda bila kujua utokako!
Binadamu siku zote huwa ni mujumuisho wa linalotokea leo, kesho, .... mpaka utakapokufa. Kila linalotokea huacha alama yake katika maisha yako na usipoangalia hayo, the chance of failure ni kubwa mno.
Tatizo ni je unauliza historia hiyo lini. Kuna mtu ameshasema hapa historia ni muhimu kabla ya commitment. Tena iwe yoote nzima nzima. Halafu ifuate comitment. Ukifanya comitment bila kujua historia, unaogelea kwenye bwawa ambalo hujui kina chake. Siku zote kuna hatari.
Tabia za watu zinajengwa na yaliyokwisha wakuta. Tujiheshimu leo, vinginevyo historia itatuhukumu. Mwanamke aliyekuwa anafanya kazi Ohio, kazi ya kujiuza, ana mtazamo fulani kuhusu mahusiano. Mtazamo ndio unaomfanya mtu awe vile alivyo. Ni muhimu kuelewa mtazamo wa mtu KABLA NA NIRUDIE TENA KABLA. Huwezi kujua mtazamo bila kujua alifanya nini huko nyuma.
Ukiwa loose leo, uwezekano wa kuwa loose mwaka ujao ni mkubwa. Hivyo kujua ni muhimu, tena ujue yoote. If you have no balls to stand them, you will have no balls to stand the relationship.
jamani... hii mada!
Labda niulize swali kwa akina baba/kaka
Hivi kwanini mnapenda kujua ya zamani? Ukishajua ili ufanyeje? wanawake wengi hawatakuambia ng'oo maana wanajua hiyo info utakuja kuitumia baadae against them.Ni kama mlinzi wa amani anapochukua maelezo yako ya ziada - tofauti ni kuwa nakutahadharisha kuwa hayo maelezo baadae yanaweza kutumika kama ushahidi mahakamani!
"MAHAKAMA za wenye ndoa" - huwa ni chumbani..usiombe!! - ni mtuhumiwa na hakimu/jaji hakuna cha shahidi wala nini! Je haki hapo itatendeka? Mshtakiwa/mtuhumiwa akiona kesi inamwelemea anaruka dhamana potelea pote maana hata hiyo dhamana anajipa mwenye maana haipo!
Je!kuna umuhimu wowote kwa wachumba,au wapenzi kuelezana historia zao za kimapenzi za kipindi cha nyuma kabla hawajakutana?...
...swali la nyongeza;
Idadi ipi ya wapenzi waliopita ni muafaka kumtajia mwenzako hata kama unadanganya?
1. kwa wanaume
2. kwa wanawake
...kwa experience yangu, wanawake wengi husema, "...wanaume watatu tu", wengine...."... hawafiki watano!"
jamani... hii mada!
Labda niulize swali kwa akina baba/kaka
Hivi kwanini mnapenda kujua ya zamani? Ukishajua ili ufanyeje? wanawake wengi hawatakuambia ng'oo maana wanajua hiyo info utakuja kuitumia baadae against them...
...duh!... kama huko awali alishaziporomosha kwa fujo kiasi kwamba sasa kila akidaka zinabanduka? am sure ushawahi sikia 'kizazi kilicholegea'...
Mkuu,
Nadhani japo tumejadili sana hii ishu, kuna kitu tumeki overlook.
Ni mambo gani ya ku declare.Nadhani kuna mambo ya kimsingi sana mtu anapaswa kuyasema kwa mwenzie hasa kama kuna dalili ya kuwa na uhusiano wa muda mrefu.Kwa uchache nitayataja na nitaomba wengine waongezee kwenye listi:
1. Alishazaa - ( wote mwanamke na mwanaume)
2. Kuwa na hali ya kutoweza kuzaa ( wote)
3. Magonjwa hatarishi kama UKIMWI ( wote)
4.Kuwa na ndoa nyingine ( wote)
sijui kama ni kitu cha maana kutaja ulishalala na watu wangapi kabla ila kama ni lazima ( wote)
5.Kuwa na perversive tendencies ( tigo, chumvini,kupiga chabo etc) -( wote)
6.Ulishatoa mimba au kusaidia kutoa mimba ( wote)
ongezeeni kwenye listi
...Now you are talking π...
ndio maana nasema kuna umuhimu sana kujua. Akili kumkichwe tu yepi ya kusema na yepi ya kuyahifadhi.
Kwa mfano, sio busara kumwambia mkeo/mumeo... "fulani pekee ndiye aliyekuwa ananifikisha kileleni kuliko hata wewe na wenzako wote nilowahi kukutana nao kimwili!"
.. Nyie msijidanganye mwayego hakuna kitu kisichoeleweka kwa wanaume kama kumwambia idadi (na pengine majina ya waliopita kwako) utakoma utakuwa unasimangwa kila siku hata siku ukichelewa kidogo utasikia au ulikuwa na flani yaani afanya kujichagulia tu leo amtaje nani kesho nani acheni kabisa . Wengine tunatamani kurudisha siku nyuma ili tu upate nafasi ya kurekebisha maelezo maana ningejua ningesema sijawahi na kustick hapo na angeniuliza ilitolewa na nani ningesema nilikuwa mchazaji mzuri wa rede na shekirede sijui rede sheki........
Yaani u made my day, nimecheka mpaka.....Yaani uliyosema ni kweli tupu....Hili ni somo kwa watu wapya, kama una mtoto labda ndio useme vinginevyo...achana na biashara ya kuandika historia mpya kwa ku'kasuku' ya kale....
Hajatulia wala nini, nimefata ushauri wake, kwa hiyo najivijali kama kawa.
kwa experience niliyo nayo, kuna wakati mnajikuta mmetulia sehemu, ww na mwanamke wako (mara nyingi huwa ni chumbani). pale stori huanzia kusikojulikana na mwanamke huanza kuongea yale aliyopitia awali, yaani maisha ya kimapenzi. ila kuna mambo mengine atayaficha ila ukiwa mjanja waweza kuyajua. ukianzisha ww kutaka kujua undani wake hutafanikiwa. mwache mwanamke atumie hisia zake kukueleza (kama utapenda) kwa wanaume...sidhani kama ni wawazi kiivyo