Kuna unafuu wa bidhaa za umeme kutoka Zanzibar?

Kuna unafuu wa bidhaa za umeme kutoka Zanzibar?

kaburu mdogo

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2011
Posts
567
Reaction score
400
Poleni na mihangaiko ya siku nzima ya leo.

Kuna bidhaa nimeziona kwenye mitandao zainauzwa Zanzibar na watu wa bara wanaziagiza. Tafadhali naomba kujua kama kuna mtu anajua unafuu wa bidhaa za kutoka Zanzibar, mtu akiifuta huko na kuisafirisha kuja bara.

Je, gharama zake zinakuwaje hususani fridge? Kwa huku bara kuna fridge zinauzwa kwa bei ya Tshs 2,200,000/= je kwa kule Zanziabar ni bei gani?

Vipi kuhusu gharama za usafiri na ushuru. Aidha, kama kuna mtu ana jamaa yake pale Unguja naomba aniunganishe nae tafadhali.

Shukrani na asanteni sana
 
Zanzibar ni nafuu katika manunuzi wa bidhaa za electronic kwa ujumla wake.
Changamoto kubwa kwenye kusafirisha yani unaweza ukachukua Tv Zanzibar kuja bara ukatozwa pesa ambayo inafanana na anayesafirisha bidhaa nyingi mf. Tv, redio,deki, nk

Kwa kwenda kununua kitu kwa ajili ya matumizi ya nyumbani hakufai inagharimu sana, kama kibiashara kunafaa sana vitu vyake vina ubora niwaminifu hamna uchakachuaji sana.

Malipo usafiri ndio yanajumuisha na kodi zingine hapo hapo.
Kwa hayo machache ndio ninayojua uende kuna mabadiliko siku hizi.
 
Zanzibar ni nafuu katika manunuzi wa bidhaa za electronic kwa ujumla wake.
Changamoto kubwa kwenye kusafirisha yani unaweza ukachukua Tv Zanzibar kuja bara ukatozwa pesa ambayo inafanana na anayesafirisha bidhaa nyingi mf. Tv, redio,deki, nk
Kwa kwenda kununua kitu kwa ajili ya matumizi ya nyumbani hakufai inagharimu sana, kama kibiashara kunafaa sana vitu vyake vina ubora niwaminifu hamna uchakachuaji sana.
Malipo usafiri ndio yanajumuisha na kodi zingine hapo hapo.
Kwa hayo machache ndio ninayojua uende kuna mabadiliko siku hizi.
Zanzibar wapigaji wapo kama kawa,
 
Back
Top Bottom