Mtoto wa Baba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,123
- 4,023
Nazi ni tamu ila Kuna wataalamu wanasema inapelekea magonjwa ya moyo na presha, pengine kwa sababu ya kuwa na mafuta mengi. Wenye utaalamu watufafanulie zaidi tafadhali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefanya njaa ianze kuniuma asubuhi yote hii 😋Hatari sana hapo kwenye majani ya kunde alafu ukute samaki kaungwa Nazi achilia maharage yaungwe Nazi alafu yalale😀😀