Kuna ushahidi gani kuwa CCM na Serikali yake ya sasa Wanapiga vita ushoga na usagaji? Toeni ushahidi

Kuna ushahidi gani kuwa CCM na Serikali yake ya sasa Wanapiga vita ushoga na usagaji? Toeni ushahidi

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Mwaka huu wa uchaguzi vyama vya siasa vishindane kwa hoja za msingi, CCM wakileta propaganda za kitoto na za kishamba kama za 2005 na 2015 wataaibika sana.

Kamati ya CCM ya mipango ya kimedani ijieupushe na propaganda zenye utoto na za kizamani, CCM iweke bayana ni wapi ni ukurasa gani wa ilani zao walipoweka tamko la kupinga ushoga?

Hawa machawa aina ya visokolokwinyo na visokolokumbembe watafunua mifumo yote ya chembe za vyoo na CCM inuke nchi nzima.

Kelele za ushoga na kufanya unafiki dhidi ya Mfalme wa Sheria Lissu italeta niguse ninuke.

Kanuni ya Ubwela ni ubaya itazaa tupatupa vifaranga waokote wao hakuna wa kulala njaa.

Mwisho wa ubaya ni Ubwela na penye Ubwela tangazo lake ni Ubaya.

Chukueni tahadhari kujamba wajambe wao feni wawashe wengine thubutu, kaa la moto hufushwa kwenye maji.

Pang Fung Mi a.k.a PangaMawe Fuso Lipite hata Mwashambwa tunapita nae.
 
ushoga upo dar pwani tanga moro na mtwara

mikoani huku hakuna huu ujinga nenda usukumani unyakysani uchagan umasaini ,kwa wakuria n.k hakuna huu ifirauni.

mkakati tokomeza unatakiwa uwe kimkoa
 
Wasanii wao tu wana connection kubwa na mashoga
Waanze na hyo msanii wao pendwa namba moja huko yeye kutwa ana roll na mashoga

Ova
 
Back
Top Bottom