Kuna utofauti gani kati ya waislam wanosafiri kwenda Uarabuni kurusha mawe na walokole wanaotumia viboko wakiamini mlengwa ni shetani?

Kuna utofauti gani kati ya waislam wanosafiri kwenda Uarabuni kurusha mawe na walokole wanaotumia viboko wakiamini mlengwa ni shetani?

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
Hawa ni waislam, kwa hapa kwetu husafiri umbali wa kilometa elf 6 kwenda huko Saudia kuupiga mawe mnara wakiamini ni shekhtani



Wakristo nao madhehebu ya walokole wanapangwa na mchungaji wao wachume viboko vya mpera, mpapai, n.k. wanaanza kuitia bakora sakafu

 
Lengo lao wote ni moja.
Mmoja kupiga hela mwingine kumpiga shetani.
Chagua upande.
 
Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa!!
 
Roman empire
Roman Catholic church
Ikazaa makanisa yafuatayo
1) Lutheran church Germany
2) Anglican church England
3) Wasabato Marekani
4) walokole Marekani

Madhehebu yote ya ukristo baba Yao ni Roman Catholic church a.k.a 666

Cha kushangaza mnaandika Uzi na kuwashangaa wagalatia wenzenu wa kilokole wakati baba yenu ni mmoja

Anayebisha aweke ushahidi hapa ni nani aliyewambia wakristo kuwa Jumapili ndio siku ya ibada kama sio Roman Catholic
 
Dini kitengo cha wajinga yani wao kila kitu wanapinga ila cha kushangaza ndio wanatumia mabomu kujilipua waliyopinga na wengine wakiumwa wanakuja hospital kutibiwa.
 
Roman empire
Roman Catholic church
Ikazaa makanisa yafuatayo
1) Lutheran church Germany
2) Anglican church England
3) Wasabato Marekani
4) walokole Marekani

Madhehebu yote ya ukristo baba Yao ni Roman Catholic church a.k.a 666

Cha kushangaza mnaandika Uzi na kuwashangaa wagalatia wenzenu wa kilokole wakati baba yenu ni mmoja

Anayebisha aweke ushahidi hapa ni nani aliyewambia wakristo kuwa Jumapili ndio siku ya ibada kama sio Roman Catholic
Usikwepe swali kwa kuanzisha mada zingine

KUNA UTOFAUTI GANI KURUSHIA MAWE MNARA NA KUCHAPA VIBOKO SAKAFU KWA KUAMINI NI SHETANI ?
 
Roman empire
Roman Catholic church
Ikazaa makanisa yafuatayo
1) Lutheran church Germany
2) Anglican church England
3) Wasabato Marekani
4) walokole Marekani

Madhehebu yote ya ukristo baba Yao ni Roman Catholic church a.k.a 666

Cha kushangaza mnaandika Uzi na kuwashangaa wagalatia wenzenu wa kilokole wakati baba yenu ni mmoja

Anayebisha aweke ushahidi hapa ni nani aliyewambia wakristo kuwa Jumapili ndio siku ya ibada kama sio Roman Catholic
shetani unaweza kumpiga mawe???
 
Back
Top Bottom