DOKEZO Kuna utoroshaji Madini huko Lemshuku, Manyara

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkuu andaa hela twende Dubai connection ipo. Kama huna ujuzi utafute ndani ya mwaka huu, mwaka kesho panapo majaliwa tuondoke. Tukifika huko tunapiga mishe huku tukicheki utaratibu wa kusonga mbele kama Canada ama Marekani. Hii Tanzania ni ngumu sana aisee!
Mkuu ukipata connection ya kusepa usiniache, nishapack kila kitu.
 
Nakupigia tuongee vizuri jamaa yangu.
 
Naomba kumjua huyu mathias malebo paul yukoje?

Nina sababu,nimjue kama ni yeye ninayemfahamu tuseme tu serikali haiko makini kuajiri watumishi wa umma.
 
Hicho kidole chako hako kaalama kwenye kucha sio kageni nishakaona hapa ofisini, nazani nikikuona ntakukumbuka sura yako.
 
Hili ni Tatizo la watumishi wa umma wengi Nchi hii wakipata fursa hawataki mchezo kabisa. Ni wezi Kuliko wezi wa huku Mtaani
Wakiangalia baadhi ya viongozi wao ni wezi vile vile, probably huwa wakisema wanafukuzwa na moyo unavunjikia hapo hapo
 
Hata umkamate mwizi wa madini hakuna kitu kitafanyika wao wanajua nani wa kumuona ili mambo yaende sawa..Nchi ngumu hii
 
Hicho kidole chako hako kaalama kwenye kucha sio kageni nishakaona hapa ofisini, nazani nikikuona ntakukumbuka sura yako.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Ila kuwazulumu wachimbaji huo ni ushetani wa hali ya juu..hao watu wanarisk maisha yao..jasho linawatoka kila siku..embu tuwe na ubinadamu na hofu ya Mungu.
 
Ila kuwazulumu wachimbaji huo ni ushetani wa hali ya juu..hao watu wanarisk maisha yao..jasho linawatoka kila siku..embu tuwe na ubinadamu na hofu ya Mungu.
Hapo walifanya kosa kubwa. Kuwadhulumu watu wanaojua mchongo mzima ni ujinga wa hali ya juu na tamaa za hovyo.
 
Umebarikiwa sana Nyikani ila watu wako waliorogwa walale USINGIZI,

Ni wakati wa kuamshwa sasa,

Imagine madini hayo 1gram =3ml tzshs. Wakati gold 1gram haizidi laki 2na nusu😳
 
Ulivyosema mwarabu basi nikakata tamaa kabisa. Waliosoma Cuba wananielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…