Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
YAANI WOTE HAO WANAJITAHIDI KUJA KUMUOKOA GAIDI? WAMESHAJUWA KUNASHIDA SEHEMU NDIYO MAANA WANAKUJA WENGI KAMA KUSINGEKUWA NA KESI YA KUJIBU WAKILI MMOJA TU ANATOSHA AISEE MBOWE GAIDI
NI IMARA SANA TU MTAHANGAIKA MPAKA MCHOKE NA GAIDI WENUUtasikia mtu anatoka huko anasema "Rais ni IMARA" π€£ π€£ π€£
CCM lazima watang'oka 2025..... kwa heri au kwa shari, kuna kila dalili watang'oka tu!Kuna uwakilishi wa Jumuiya ya Ulaya, ubalozi wa Marekani, ubalozi wa Canada, ubalozi wa Uingereza na ubalozi wa Sweden wapo nje na wao wanasubiri chumba cha mahakama kifunguliwe, ili waingie pamoja na watu wengine..
View attachment 1938346
View attachment 1938280
ILI NANI ATAWALE NCHI HII UNAVYOONA? CCM IMARACCM lazima watang'oka 2025..... kwa heri au kwa shari, kuna kila dalili watang'oka tu!
Katika uandishi wako unaonesha haujui hata Mbowe ana kosa lipi lakini umekaza shingo tena kwa mwandiko mnene eti ..."MBOWE GAIDI"...!Unajiabisha kwa kutaka kuifurahisha nafsi yako πππππYAANI WOTE HAO WANAJITAHIDI KUJA KUMUOKOA GAIDI? WAMESHAJUWA KUNASHIDA SEHEMU NDIYO MAANA WANAKUJA WENGI KAMA KUSINGEKUWA NA KESI YA KUJIBU WAKILI MMOJA TU ANATOSHA AISEE MBOWE GAIDI
UTAPATA SHIDA SANA MAWAKILI WOTE HAO WA NINI KAMA MBOWE SIYO GAIDI NA ANAKULA MIAKA YA KUTOSHAKatika uandishi wako unaonesha haujui hata Mbowe ana kosa lipi lakini umekaza shingo tena kwa mwandiko mnene eti ..."MBOWE GAIDI"...!Unajiabisha kwa kutaka kuifurahisha nafsi yako πππππ
Boya kama jina lako.ππππUTAPATA SHIDA SANA MAWAKILI WOTE HAO WA NINI KAMA MBOWE SIYO GAIDI NA ANAKULA MIAKA YA KUTOSHA
Hata tukitawaliwa na wachawi wa gamboshi sawa tu ila siyo mafala wa kijaniILI NANI ATAWALE NCHI HII UNAVYOONA? CCM IMARA
yaani nawacheka kwa dharaaaauuuuu mnavyohangaika na huyo gaidi na hatoki leo wala kesho ngoja ianze kupigwa kalenda za miezimiezi mara mwaka tyuuuuu mara kasahaulika kabisaaaaaaaaaBoya kama jina lako.ππππ
au unataka hawa ndiyo watawale?Hata tukitawaliwa na wachawi wa gamboshi sawa tu ila siyo mafala wa kijani