Kuna uwezekano akapata mimba na hii tarehe?

na kupata mtoto ni jambo la baraka sana
 
Waswas wang n kuwa skuona
wazungu wa pili kwenye kinga yan
Baada ya kutoa wa kwanza na kubadilisha
Kinga Sasa wazungu wa pili sku waona
Ndo Hof yang
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We jamaa ni fara sana, alafu umenichekesha sana.
Kwahiyo ulipizi upepo
 
Mkuu cjui maana after kumaliza wakat
Natoa ndo nliwazungu wakiwa wadogo
Sana co wengi wa mara ya kwanza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unajua we jamaa ni fara Hahaha h
Hivi una umri gani kudadeki zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…