Bahati Mbaya hizo za kikwete nazo umeonyesha bilion 9 tu kazi ya hizo zote.
Nakupa kazi za Magufuli.
1. Umeme vijiji elfu 9.
2. Ndege mpya 11.
3, Ukarabati shule zote kongwe, unazishaji wa shule mpya.. gharama yake ni zaidi ya hayo madarasa ya samia.
4. Ujenzi wa makazi ya polisi.
5. Flyover - Mfugale na Ubungo-Kijazi.
6. Barabara - Anza na Morogoro road kwa Dar njia nane.. Barabara ya Mbeya hadi Kigoma na Bukoba. Nenda Pale Arusha kwa mara ya kwanza wamejengewa barabara nzuri sana. Itigi -Tabora. Mbeya - Chunya, Songea - Mbambay.
7. Miradi ya maji ndo usiseme.. Nakutajia Miradi Mikubwa tu; Arusha,Mwanga na Same; Mwanza, Mwanza Tabora, Dodoma, Dar, Kisarawe. n.k.
8. Ujenzi na upanuzi wa viwanja vya ndege. KIA, Dar, Songwe, Songea, Chato,Mtwara, Katavi, Iringa, Njombe, Msoma,Mwanza n.k.
9. Kuhamia Dodoma. Makao makuu.
10. Ujenzi wa hostel zax vyuo mbalimbali kama UDSM na TIA (Mtwara Singida na Mwanza).
11. Ujenzi wa Bwawa la Umeme.
12. Ujenzi wa SGR.
13. Ujenzi wa Mwendo kasi ya Mbagala.
14. Ujenzi wa Masoko kila mkoa.
15. Upanuzi wa vituo vya kufulia umeme - Kinyerezi.
16. Ujenzi wa Stend za mabasi kila mkoa.
17. Ujenzi wa Hospital za Kila Kanda.. Kanda ya Kati Dodoma, Kusini - Mtwara. Kanda ya Ziwa Chato. Magaribi - Mbeya.
18. Ujenzi wa Hosipital ya Kila mkoa - Njombe; Msoma n.k.
19 . Ujenzi wa hospital za wilaya.
20. Ujenzi wa vituo vya afya - Kata
21. Ununuzi wa Meli kila ziwa - Victori, Nyasa na Tanganyika.
22. Ujenzi wa Madaraja makubwa -- Busisi na Coco.
24. n.k.
Naishia hapo..hizi kazi zote ndani ya miaka mitano ..Mwanamme alikuwa halali kwa ajiri yako na wajukuu zako.