Kuna uwezekano kujifungua mimba ya miezi 8 na mtoto akawa salama?

Kuna uwezekano kujifungua mimba ya miezi 8 na mtoto akawa salama?

Ka ana mimba yasumbua awe karibu na hospital Ili achomwe sindano ya kusaidia mtoto mapafu mkuu niliona mahali huo ushauri

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Mungu amsaidie, kuna ishu kama hii imemtokea rafiki yangu mkewe imebidi afanyiwe upasuaji ili kumnusuru mmoja wapo
 
Mkuu miezi 8 anaweza kuishi ila ni nadra sana.
Nimeona hii google mna mm tulivosoma f6 mwalimu ndo alitwambia ivo
20211115_061800.jpg
 
Je,kuna uwezekano wa mwanamke kujifungua miezi 8 na mtoto akawa fresh???
Ndiyo ila siyo kuwa fresh kabisa kama mtoto aliyetimiza umri wake. Huyo Anakuwa premature baby , kwahiyo atahitaji huduma ya joto na kukomaza mapafu.
 
Mtoto miezi 7 anaweza kuzaliwa ndo wale wanoitwa njiti ila mtoto wa miezi 8 akizaliwa anakufa bcz katika mwezi wa 8 kuna transformation inatokea hapo kwa mtoto.
hope nimeeleweka
Hapana hapa umedanganya.... Mtoto wa miezi 8 ana nafasi nzuri ya kuishi kuliko mtoto wa miezi 7.

Hapa umeandika kinyume kabisa
 
How?

Akipata premature baby care ana nafasi kubwa ya kuishi

Ulisoma wapi mkuu?

Nipe wewe maandishi yanayosema premature baby wa miezi 7 (wiki 28) ana nafasi kubwa ya kuishi kuliko wa miezi 8 ( wiki 32).
Sasa ww untka ushindani kma huwezi kaa kimya
 
Sasa ww untka ushindani kma huwezi kaa kimya
Tatizo la watanzania huwa Kuna maneno ya kudanganyana yanatembea miongoni mwetu ya upotoshaji toka kitambo- mojawapo ni hiyo ya kuwa mtoto njiti wa miezi 7 anaishi kuliko mtoto njiti wa miezi 8.

Survival rate ya premature baby inategemea na Birth weight ya mtoto, Umri wa mtoto anaokuwa amezaliwa na upatikanaji wa huduma za kuwatunza watoto njiti.

Nafasi ya mtoto mwenye uzito mkubwa kusurvive ni kubwa kuliko mtoto aliyezaliwa na uzito mdogo. Hivyo hivyo nafasi ya mtoto aliyezaliwa katika umri mkubwa ana nafasi kubwa ya kusurvive kuliko mtoto wa umri mdogo..... The higher the Gestation age the better the survival rate.

Paper na maelezo ya kisayansi zipo nyingi tu ,jiongeze hata Kwa kugoogle tu.
 
Tatizo la watanzania huwa Kuna maneno ya kudanganyana yanatembea miongoni mwetu ya upotoshaji toka kitambo- mojawapo ni hiyo ya kuwa mtoto njiti wa miezi 7 anaishi kuliko mtoto njiti wa miezi 8.

Survival rate ya premature baby inategemea na Birth weight ya mtoto, Umri wa mtoto anaokuwa amezaliwa na upatikanaji wa huduma za kuwatunza watoto njiti.

Nafasi ya mtoto mwenye uzito mkubwa kusurvive ni kubwa kuliko mtoto aliyezaliwa na uzito mdogo. Hivyo hivyo nafasi ya mtoto aliyezaliwa katika umri mkubwa ana nafasi kubwa ya kusurvive kuliko mtoto wa umri mdogo..... The higher the Gestation age the better the survival rate.

Paper na maelezo ya kisayansi zipo nyingi tu ,jiongeze hata Kwa kugoogle tu.
Yni usitumie Elimu yko kuwaona wenzako inferior kwanza hujaweka ata ushahidi wa kisayansi just roporopo zako tuu
Nikiwa f6 tulimuuliza mwalimu akatujibu ivo
 
Yni usitumie Elimu yko kuwaona wenzako inferior kwanza hujaweka ata ushahidi wa kisayansi just roporopo zako tuu
Nikiwa f6 tulimuuliza mwalimu akatujibu ivo
Mwalimu wako aliwapotosha/danganya achana naye.

Hebu jaribu kugoogle tu mwenyewe, achana na elimu yangu.
 
Back
Top Bottom