Akhi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 3,380
- 5,906
[emoji40][emoji40][emoji40]Mwalimu wako aliwapotosha/danganya achana naye.
Hebu jaribu kugoogle tu mwenyewe, achana na elimu yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji40][emoji40][emoji40]Mwalimu wako aliwapotosha/danganya achana naye.
Hebu jaribu kugoogle tu mwenyewe, achana na elimu yangu.
Hii ni through experience kw ndugu zangu...na hayo na maelezo yako wewe!How?
Akipata premature baby care ana nafasi kubwa ya kuishi
Imagine this!Yni usitumie Elimu yko kuwaona wenzako inferior kwanza hujaweka ata ushahidi wa kisayansi just roporopo zako tuu
Nikiwa f6 tulimuuliza mwalimu akatujibu ivo
MmmmhMwalimu wako aliwapotosha/danganya achana naye.
Hebu jaribu kugoogle tu mwenyewe, achana na elimu yangu.
👍👍👍👍Hii ni through experience kw ndugu zangu...na hayo na maelezo yako wewe!
naweza pata namba yako?Hapana hapa umedanganya.... Mtoto wa miezi 8 ana nafasi nzuri ya kuishi kuliko mtoto wa miezi 7.
Hapa umeandika kinyume kabisa
Watoto wengi wakiota meno hupata homa au kuharisha ,cha ajabu madaktari watakubishiaMmmmh
Hatugoogle Lete hapa!
Homa ndiyo ila kuharisha hapana.Watoto wengi wakiota meno hupata homa au kuharisha ,cha ajabu madaktari watakubishia
Nicheck PMnaweza pata namba yako?
Nilijua utabisha ila huku mtaani ndio hivyo,hospital hata hawajui kuwa kuna kitu kinaitwa mchango,tumbo la watoto.na hizo dawa hawanaHoma ndiyo ila kuharisha hapana.
Kuharisha unayoizungumzia ni Ile ya rotavirus ambayo Sasa hivi watoto wanapewa chanjo yake. Kwahiyo diarrhea ya mara kwa mara kwa watoto kwasababu ya huyu virus imepungua sana
Umehama kutoka kuharisha ,Sasa unataka tujadili mchango tena?Nilijua utabisha ila huku mtaani ndio hivyo,hospital hata hawajui kuwa kuna kitu kinaitwa mchango,tumbo la watoto.na hizo dawa hawana