Kuna uwezekano kwamba Israel ilijiruhusu kuvamiwa ili ipate sababu ya kutoa dozi nzito bila kulalamikiwa inatumia nguvu kubwa kukabiliana na mgambo?

Kuna uwezekano kwamba Israel ilijiruhusu kuvamiwa ili ipate sababu ya kutoa dozi nzito bila kulalamikiwa inatumia nguvu kubwa kukabiliana na mgambo?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Tunasikia Egypt walitoa habari juu ya shambulio hili ila huenda Israel wakaona wakidhibiti mapema mambo yatakuwa yale yale ya kuruhusiwa kumchapa Hamas na Chelewa wakitaka kurusha ngumi wanazuiwa (cease fire), itakuwa walifumba jicho kuwatoa sadaka baadhi ya waisrael kwa lengo ya kupata go ahead ya kurusha konde la kiutu uzima na si kuchapia chelewa ambazo Hamas kashazoea.

Kuna muda mkubwa atachoka itabidi amruhusu maksudi mdogo wake ampige mbele ya mama yake, tena anajilrngesha vizuti ili mdogo aweze kumpiga makwenzi na mbata, mkubwa anaweza asisikie maumivu sana ila atatoa kilio cha kinafki kwamba bwana mdogo anamuumiza sana.

Hii yote ili apate sababu ya kurusha walau ngumi mbili ama tatu za kiutu uzima kwa kisingizio cha self defrnce ili dogo ashike adabu, nae mama anakuwa upande wa mkubwa kuona karusha makonde kujilinda.
 
Hiyo ni War tactics, wewe unadhani ule ulinzi uliokuwepo pale West gate yaani Camera, fance,askari mwendo,vifaru na Tower 🗼 pande zote mbili yaani huku Israel na upande wa pili Gaza.

Cha ajabu hao wavamizi wakaja kwa kutumia parachute (hewani) , wakavunja fence na greda (ardhini), na wakatumia boti baharini bila kuonekana na radar au camera yeyote 🤔🤔🤔..

Bado nikawa nafatilia clip moja wanajeshi wa Israel baada ya kuvamiwa wakatafuta kakichaka wakawa wamepiga magoti wanawasoma hamas wanavyokuja 🤔🤔🤔..

Response wakawa wanaua kamoja kamoja licha ya kuwa na mabomu vita ya kila aina 🤔🤔🤔
 
Hiyo ni War tactics, wewe unadhani ule ulinzi uliokuwepo pale West gate yaani Camera, fance,askari mwendo,vifaru na Tower 🗼 pande zote mbili yaani huku Israel na upande wa pili Gaza.

Cha ajabu hao wavamizi wakaja kwa kutumia parachute (hewani) , wakavunja fence na greda (ardhini), na wakatumia boti baharini bila kuonekana na radar au camera yeyote 🤔🤔🤔
Walianza kurusha roketi,Mara Moshi angani kuzuwia camera,wakatua na parachute
 
Bado nikawa nafatilia clip moja wanajeshi wa Israel baada ya kuvamiwa wakatafuta kakichaka wakawa wamepiga magoti wanawasoma hamas wanavyokuja 🤔🤔🤔..
Ilikuaje ndani ya masaa wakateka eneo sawa na Gaza?
 
Israeli walivamiwa. Wale hawawezi kumtoa kafara hata mtu wao mmoja
 
Mkuu hao migambo wa huko si sawa na migambo wa bongo wanao sumbua mama ntilie
 
Tunasikia Egypt walitoa habari juu ya shambulio hili ila huenda Israel wakaona wakidhibiti mapema mambo yatakuwa yale yale ya kuruhusiwa kumchapa Hamas na Chelewa wakitaka kurusha ngumi wanazuiwa (cease fire), itakuwa walifumba jicho kuwatoa sadaka baadhi ya waisrael kwa lengo ya kupata go ahead ya kurusha konde la kiutu uzima na si kuchapia chelewa ambazo Hamas kashazoea.

Kuna muda mkubwa atachoka itabidi amruhusu maksudi mdogo wake ampige mbele ya mama yake, tena anajilrngesha vizuti ili mdogo aweze kumpiga makwenzi na mbata, mkubwa anaweza asisikie maumivu sana ila atatoa kilio cha kinafki kwamba bwana mdogo anamuumiza sana.

Hii yote ili apate sababu ya kurusha walau ngumi mbili ama tatu za kiutu uzima kwa kisingizio cha self defrnce ili dogo ashike adabu, nae mama anakuwa upande wa mkubwa kuona karusha makonde kujilinda.
Ndio umejua leo (Jana)?
 
Back
Top Bottom