hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
Atapokamatwa mtoto wake yule Mkubwa ayawataja watekajo na wanapowapelekhyyyyHuyu Mbowe akikamatwa akapelekwa sehemu nzuri , akafinywa ipasavyo atatuambia tu ukweli.
Inaonekana yeye ndiye anatoa go ahead kabla CCM hawajafanya yao kwa wana chadema.
🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫wasikusikieHuyu Mbowe akikamatwa akapelekwa sehemu nzuri , akafinywa ipasavyo atatuambia tu ukweli.
Inaonekana yeye ndiye anatoa go ahead kabla CCM hawajafanya yao kwa wana chadema.
Sasa kwa nini wasifinywe hao waliopewa go ahead?Huyu Mbowe akikamatwa akapelekwa sehemu nzuri , akafinywa ipasavyo atatuambia tu ukweli.
Inaonekana yeye ndiye anatoa go ahead kabla CCM hawajafanya yao kwa wana chadema.
Maharage ya wapi haya ndugu maana ushuzi si wa kawaida huuHuyu Mbowe akikamatwa akapelekwa sehemu nzuri , akafinywa ipasavyo atatuambia tu ukweli.
Inaonekana yeye ndiye anatoa go ahead kabla CCM hawajafanya yao kwa wana chadema.
Lisu ipo siku ata sema kila kituMbowe mwenyewe ni mtekaji!
Kwani Umesahau hawa vijana wa Chadema waliitwa NYUMBU na Mwana Chadema mwenzao! Unafikiri alikosea?Uzi tayari. Jamani, hivi vichwa vyenu mnatumia kufanyia nini?
Tanzania huwezi kuwa na chama cha siasa kama sio sistim.Huyu Mbowe akikamatwa akapelekwa sehemu nzuri , akafinywa ipasavyo atatuambia tu ukweli.
Inaonekana yeye ndiye anatoa go ahead kabla CCM hawajafanya yao kwa wana chadema.
Wakati mama hajaelewa system ikoje alimkamata Mbowe akamtia gerezani kwa sababu ni gaidi. Baadae akamwachia ili amsaidie.Huyu Mbowe akikamatwa akapelekwa sehemu nzuri , akafinywa ipasavyo atatuambia tu ukweli.
Inaonekana yeye ndiye anatoa go ahead kabla CCM hawajafanya yao kwa wana chadema.