Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Kutoka kwenye ukurasa rasmi wa Simba Sports Club wameuliza swali la "NI MCHEZAJI GANI AMEWAHI KUCHEZA SIMBA UNATAMANI TENA KUMUONA AKIWA MSIMBAZI?"
ikifuatiwa na Picha kumi za Wachezaji waliowahi kung'aa na timu hiyo kwa mafanikio makubwa akiwemo OKWI, KAGERE, FRAGA na wengine wengi lakini kwa tuliosoma pale CHINI YA MITI YA MIEMBE jicho letu limetua kwa KICHUYA asiyechuja ndani ya Ligi Kuu TANZANIA BARA akiwa na WAUAJI WA KUSINI.
ikifuatiwa na Picha kumi za Wachezaji waliowahi kung'aa na timu hiyo kwa mafanikio makubwa akiwemo OKWI, KAGERE, FRAGA na wengine wengi lakini kwa tuliosoma pale CHINI YA MITI YA MIEMBE jicho letu limetua kwa KICHUYA asiyechuja ndani ya Ligi Kuu TANZANIA BARA akiwa na WAUAJI WA KUSINI.