Kuna uwezekano mkubwa Piere mzee wa Liquid sio mzima

Kuna uwezekano mkubwa Piere mzee wa Liquid sio mzima

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Piere Konki Liquid kuna uwezekano mkubwa akawa sio mzima huyu.

Hivi inawezekana kweli mwanaume rijali ukawa na miaka 42 huna mke, demu wala mchumba, hata wale wanawake wanaojiuza hujawahi kuonekana nao?.

Vilevile ukichunguza kwa makini jamaa anakunywa sana bia kila siku na miongoni mwa vitu vinasababisha upungufu wa nguvu za kiume ni unywaji sana wa bia .


Kama ingekuwa shida ni pesa jamaa hivi vi mia mbili mia tatu anashika sana kwa hiyo isingekuwa ngumu kwake kuhudumia mke.


officialpierre_liquid-20190314-0001.jpeg
 
wewe ni nani yake? hadi umjue kiundani .. maisha yake ya binafsi
maisha ya kiundani kivipi?

Kwani ni mara ngapi anaweka wazi suala hilo kwamba hana demu, mke kwa sababu umri bado na atatafuta huko mbeleni.

Pia hata ukiwauliza majirani zake watakwambia jamaa hakuwahi kuwa na demu.
 
Si bure mtoa mada kuna la zaidi anahitaji. Akihisi huyo Pierre yumo humu atamjibu kwa kumwambia aende akamuonyesha kama ana dosari na hapo dhamira ya mtoa mada kutimia kwa kuliwa kiboga na Bw. Konki Liquid. Mtoto wa kiume kuulizia kudisa kwa mwanaume mwenzio ni dhahiri kuna shaka juu ya uanaume wako pia.
 
Mbona unatoa povu la uharo
Si bure mtoa mada kuna la zaidi anahitaji. Akihisi huyo Pierre yumo humu atamjibu kwa kumwambia aende akamuonyesha kama ana dosari na hapo dhamira ya mtoa mada kutimia kwa kuliwa kibogo na Bw. Konki Liquid. Mtoto wa kiume kuulizia kudisa kwa mwanaume mwenzio ni dhahiri kuna shaka juu ya uanaume wako pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Piere Konki Liquid kuna uwezekano mkubwa akawa sio mzima huyu.

Hivi inawezekana kweli mwanaume rijali ukawa na miaka 42 huna mke, demu wala mchumba, hata wale wanawake wanaojiuza hujawahi kuonekana nao?.

Vilevile ukichunguza kwa makini jamaa anakunywa sana bia kila siku na miongoni mwa vitu vinasababisha upungufu wa nguvu za kiume ni unywaji sana wa bia .


Kama ingekuwa shida ni pesa jamaa hivi vi mia mbili mia tatu anashika sana kwa hiyo isingekuwa ngumu kwake kuhudumia mke.


View attachment 1045333
Nenda katest kumpa papa au kalio then utuletew majibu hapa
 
Piere Konki Liquid kuna uwezekano mkubwa akawa sio mzima huyu.

Hivi inawezekana kweli mwanaume rijali ukawa na miaka 42 huna mke, demu wala mchumba, hata wale wanawake wanaojiuza hujawahi kuonekana nao?.

Vilevile ukichunguza kwa makini jamaa anakunywa sana bia kila siku na miongoni mwa vitu vinasababisha upungufu wa nguvu za kiume ni unywaji sana wa bia .


Kama ingekuwa shida ni pesa jamaa hivi vi mia mbili mia tatu anashika sana kwa hiyo isingekuwa ngumu kwake kuhudumia mke.


View attachment 1045333

Sijui binadam tukoje. Kwani yeye akioa au asipooa unafaidika na chochote?

Kwani ulishamsikia akilalamika? Hivi maisha yake yanakuhusu nini wewe?
 
Back
Top Bottom