Kuna uwezekano mkubwa Piere mzee wa Liquid sio mzima

Haya wabongo na umaarufu wetu wa kipumbavu.
Mtu huna mbele wa nyuma wala lolote la maana kwenye jamii lakin na ww ynakua star huku maisha tu shida ..!!!...
Itatuchukua miaka mingi sana kufika tunapotakiwa
 
Umesahau kwamba mademu hawapendi watu wafupi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Quoted
 
Sifaidiki chochote ila nimetoa mtazamo wangu kwa jinsi ninavyoona.
yawezekana hata wewe usingeweka fake ID watu wangejua mapungufu yako kibao....rule nzuri ya maisha ni kwamba personal life ya mtu ...iache ibaki kwake haikuhusu...coz angekuwa ameweka mahusiano yake wazi na hana mtoto ungekuja na mada kwamba hawezi zalisha....anyway mwanaume hutakiwi kuwa na style za kufuatilia maisha ya mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…