Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Hata Fourier Series ipoKina Archimedes Principle?
Basi iko ndio chenyewe.Hata Fourier Series ipo
Waislam Kuna mistari ya Quran huwa wanatamani kuitoaKatika surat al baqar aya 48 amewaelezea waislael ambapo anasema" o children of israel!remember my favour which i bestowen upon you and that exalted you above the people..kwa kuangalia ayah hii nikagundua quran haijabakisha jambo kwani hata wadudu na sayari zimeongelewa.
Hii ndio sababu wazungu waliona kutuzuga tusijue kuhusu hiki kitabu na yaliomo ndani yake wakaamua kutuletea Bible. Hiki kitabu kimebeba Kila kitu kilichomo duniani cha siri na dhahiri.ni asilimia chache sana ya watu wanaokijua hiki kitabu Tena kwa uchache lakini mambo wanayoyafanya kupitia kitabu hiki ni makubwa mnoo. Hata waislam wengi bado hawakijui hiki kitabu, I short kitabu hiki hakijaacha kitu kimezungumzia Kila kitu kuanzia Dunia ya waliopita,tuliopo na zama za mwisho.Katika surat al baqar aya 48 amewaelezea waislael ambapo anasema" o children of israel!remember my favour which i bestowen upon you and that exalted you above the people..kwa kuangalia ayah hii nikagundua quran haijabakisha jambo kwani hata wadudu na sayari zimeongelewa.
😂Kina Archimedes Principle?
Wewe hujaelewa hiyo sarcastic language. Ukikua utaelewa.Hii ndio sababu wazungu waliona kutuzuga tusijue kuhusu hiki kitabu na yaliomo ndani yake wakaamua kutuletea Bible. Hiki kitabu kimebeba Kila kitu kilichomo duniani cha siri na dhahiri.ni asilimia chache sana ya watu wanaokijua hiki kitabu Tena kwa uchache lakini mambo wanayoyafanya kupitia kitabu hiki ni makubwa mnoo. Hata waislam wengi bado hawakijui hiki kitabu, I short kitabu hiki hakijaacha kitu kimezungumzia Kila kitu kuanzia Dunia ya waliopita,tuliopo na zama za mwisho.
Ni jambo la Kushangaza Quraan Ina Vitabu toka kwenye Bibilia Agano la kale na jipya. Lakini Quraan hiyo hiyo inasema na kusisitiza kuwa Maadui wakubwa wa Waislam ni Mayahudi na Wakristo .Katika surat al baqar aya 48 amewaelezea waislael ambapo anasema" o children of israel!remember my favour which i bestowen upon you and that exalted you above the people..kwa kuangalia ayah hii nikagundua quran haijabakisha jambo kwani hata wadudu na sayari zimeongelewa.
ivi biblia takatifu na quruani tukufu ya mnyaazi ipi ilikuwa ya kwanza?...........na je nikiamua kuslim bas thawabu yangu itakuwa nn kama mwanaume...na wanawake je watapata thawabu gan.....huko pepon.......na vip kuhus ....majini pepon yatakuwepo au...........yote kwa yote kuna vitabh vinanitatiza sana ndan ya quruan tukufu sura kama... surtal jinn....kitabu ...sura ya ng'ombe...hiz sura zinanitatiza sana ....alafu kuna mahali inasema issa aliumba ndege akampulizia pumzi akawa hai ....ebu nifafanulie na hii piah.Hii ndio sababu wazungu waliona kutuzuga tusijue kuhusu hiki kitabu na yaliomo ndani yake wakaamua kutuletea Bible. Hiki kitabu kimebeba Kila kitu kilichomo duniani cha siri na dhahiri.ni asilimia chache sana ya watu wanaokijua hiki kitabu Tena kwa uchache lakini mambo wanayoyafanya kupitia kitabu hiki ni makubwa mnoo. Hata waislam wengi bado hawakijui hiki kitabu, I short kitabu hiki hakijaacha kitu kimezungumzia Kila kitu kuanzia Dunia ya waliopita,tuliopo na zama za mwisho.
Mkuu Kwani quran na bible kipi kilianza?quran mambo mengi imecopy kwenye bible,Yesu alitangulia ndipo Muhammad akafuatia akaanza copy and pasteHii ndio sababu wazungu waliona kutuzuga tusijue kuhusu hiki kitabu na yaliomo ndani yake wakaamua kutuletea Bible. Hiki kitabu kimebeba Kila kitu kilichomo duniani cha siri na dhahiri.ni asilimia chache sana ya watu wanaokijua hiki kitabu Tena kwa uchache lakini mambo wanayoyafanya kupitia kitabu hiki ni makubwa mnoo. Hata waislam wengi bado hawakijui hiki kitabu, I short kitabu hiki hakijaacha kitu kimezungumzia Kila kitu kuanzia Dunia ya waliopita,tuliopo na zama za mwisho.
Qur'an ndio imeanza kabla ya Biblia.Mkuu Kwani quran na bible kipi kilianza?quran mambo mengi imecopy kwenye bible,Yesu alitangulia ndipo Muhammad akafuatia akaanza copy and paste
duuuuhh umeitoa katika historia ipi hii et taurat ...ni torati...msaafu wa nabii ibrahim hayq upo wap siku hz huo msaafu...ndani ya torati inasema mtoto wa ahadi ni isaka na torati inasema israel n taifa la Mungu sasa mbona inapingana na quruan ambayo inashadadia waarabu......torati inasema.... tusiwe na shirika na majini....lkn quruan inasema kinyume chake afu et ....mnadai mnaamin torati...na mnaibadilisha jina kwa kuiita taurati nyie.....et sweitan..nyie wasela nyieQur'an ndio imeanza kabla ya Biblia.
Qur'an imetanguliwa na Msahafu wa nabii Ibrahimu, Taurati, Zaburi na Injili. Kipindi Qur'an ipo hapakuwa na Biblia.
Hiyo Quran mnayoisifia mnadhani kuna uzima humo?Muhammad mpaka leo hii yuko kuzimu na Allah ni jini mkuu subyani,Qur'an ndio imeanza kabla ya Biblia.
Qur'an imetanguliwa na Msahafu wa nabii Ibrahimu, Taurati, Zaburi na Injili. Kipindi Qur'an ipo hapakuwa na Biblia.
Kwahiyo biblia waliikopi Quran? Hebu nitajie wanafunzi wa Yesu walikuwa wangapi kwa mujibu wa QuranHii ndio sababu wazungu waliona kutuzuga tusijue kuhusu hiki kitabu na yaliomo ndani yake wakaamua kutuletea Bible. Hiki kitabu kimebeba Kila kitu kilichomo duniani cha siri na dhahiri.ni asilimia chache sana ya watu wanaokijua hiki kitabu Tena kwa uchache lakini mambo wanayoyafanya kupitia kitabu hiki ni makubwa mnoo. Hata waislam wengi bado hawakijui hiki kitabu, I short kitabu hiki hakijaacha kitu kimezungumzia Kila kitu kuanzia Dunia ya waliopita,tuliopo na zama za mwisho.