Kuna uwezekano Pi network ikaja kuqa kama bitcoin?

Kuna uwezekano Pi network ikaja kuqa kama bitcoin?

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Miaka ya 2009 bitcoin zilikuwa zinapatikana bure au hazina thamani yoyote. Leo bitcoin moja ni zaidi ya milion 200 , kuna hii currency ambayo bado haijazinduliwa je kuna uwezekano ikaja kutisha baada ya miaka 15 ijayo kama ilivyofanya bitcon? Wataalam wa sarafu za kidigital mnaweza kuzungumza hapa
 
Miaka ya 2009 bitcoin zilikuwa zinapatikana bure au hazina thamani yoyote. Leo bitcoin moja ni zaidi ya milion 200 , kuna hii currency ambayo bado haijazinduliwa je kuna uwezekano ikaja kutisha baada ya miaka 15 ijayo kama ilivyofanya bitcon? Wataalam wa sarafu za kidigital mnaweza kuzungumza hapa
How does it work?
 
Shida ni wakiamua kufanya uhuni

1000023496.jpg
 
Ukisoma white papers zote 2, ya 2019 na ya 2021 naona ina potential
Screenshot_20250216_180638_com.blockchainvault_edit_640358172841348.jpg
 
Miaka ya 2009 bitcoin zilikuwa zinapatikana bure au hazina thamani yoyote. Leo bitcoin moja ni zaidi ya milion 200 , kuna hii currency ambayo bado haijazinduliwa je kuna uwezekano ikaja kutisha baada ya miaka 15 ijayo kama ilivyofanya bitcon? Wataalam wa sarafu za kidigital mnaweza kuzungumza hapa
Unafananisha BTC na Aviator mkuu ?
Kweli kazi ipo
 
Mkuu Kama huku mine pi basi itakushangaza kwani wenzio tunaenda kuwa ma milllionaire soon...hakika mvumilivu hula mbivu.
Sawa future millionaire, endeleeni kupoteza muda na pyramid/ Ponzi scheme hizo.
Wenzenu wanaingiza jiwe Toka mlipoanza kutumia, pi network ni scam, na mnadanganywa kuhusu minetwork hiyo tarehe ishirini utarudi hapa kuniambia price ya pi ningapi.

Wamiliki wa pi Network ni wataalamu wa social engineering kuliko crypto, ndiomana wamewatengenezea scheme wajipigie Hela za matangazo na wakusanye data bila nyie kuelewa.
Screenshot_20250218-132725.jpg


Wahuni wanachukua data zenu mnabaki kuzubaa angalia trackers na permissions ambazo pi ipo nazo, na jiulize zote ni za nini.

Screenshot_20250218-132219.jpg


Fuatilia vitu kabla hujakulupuka, utakuwaja kustake vitu vyenye zero price quote.
Kwanza siwezi tumia crypto yeyote au exchange yenye KYC, nini maana ya Crypto sasa.
Hata BTC wahuni hawaitumii kwasabu ni public ledger ingia darkweb kama Kuna biashara ya msingi wanapokea BTC.
 
Mkuu Kama huku mine pi basi itakushangaza kwani wenzio tunaenda kuwa ma milllionaire soon...hakika mvumilivu hula mbivu.
Tatizo la hizi Ponzi scheme mnakazaga vichwa kwasabu mnapata pi nyingi kwenye kureferal watu, kwahiyo Kwa akili zenu mnafikiri tuna waharibia soko wakati tunawaambia ukweli.
Tukutane tarehe 20
 
Tatizo la hizi Ponzi scheme mnakazaga vichwa kwasabu mnapata pi nyingi kwenye kureferal watu, kwahiyo Kwa akili zenu mnafikiri tuna waharibia soko wakati tunawaambia ukweli.
Tukutane tarehe 20
Tarehe 20 sio mbali mkuu
 
Back
Top Bottom