Usitake kujifariji umeambiwa OA BIKRA ila unakazi ya kupingapinga ukichapiwa uwe mvumilivu.
Yaani nyie wavulana mnaudhaifu wa kihisia mnahisi huyo mwanamke kukutanulia mapaja basi anakupenda na wewe ni wa pekee, gentleman sikia achana na hayo magumegume tafuta BIKRA UOE.
Huwezi kupata BIKRA rudi nyumbani omba baba zako wadogo,mjomba,au baba,babu au mashangazi wakutafutie mwanamke BIKRA UOE. Hao malaya uliokutana nao huko chuo na mtaani kazi yao ilikuwa kukutoa USHAMBA WA KITUMBUA na kukupa uzoefu.Wachukulie kama gari ya driving school pata ujuzi achia wengine.
Hekima ya kutafutiwa BIKRA NA WALIOKUZIDI ipo kwenye uzoefu( experirnce) hao wazee baba,babu,wajomba au mashangazi wameona mengi wanajua mengi hivyo hawawezi kuzuzuka na ujingaujinga ambao vijana wa kileo unawasumbu.
Vitu kama matako makubwa(wenyewe vijana wa hovyo wanaita Matako mengi),rangi ya ngozi,sura na usasa( swaga) wao wazee ni vitu vya mwisho kuviangali tofauti na vijana ambao wao ndo vitu wanaviprioritize(wanavitanguliza).
Hivyo kutafutiwa mkeo aliye BIKRA na wazee ni bora mara elfu ukiweka ndani vijana wengi bado tamaa ya ngono ipo juu hivyo maamuzi yao mengi yanakuwa hayajakomaa.
📌📌📌BIKRA WAPO ILA HAWANA VIGEZO FEKI KAMA HAO MALAYA WA MITAANI AU WAHITIMU WA CHUO(WAKE ZA WATU).
NB;Wanachuo wote wanaishi kinyumba,epuka kuoa mke wa mtu wajane wa chuo na upumbavu kama huo.Na kwa makadirio ya chini msichana wa chuo anaishi kinyumba pika pakua🔥🔥🔥 na wavulana 3 kwa miaka 3 ya degree au diploma🤗🤗🤗
📌Oa bikra hujapata bikra,KATAA NDOA. Ndoa itakuwaletea changamoto ya afya ya akili, kifo na kuyumba kiuchumi!!!!
Yaani nyie wavulana mnaudhaifu wa kihisia mnahisi huyo mwanamke kukutanulia mapaja basi anakupenda na wewe ni wa pekee, gentleman sikia achana na hayo magumegume tafuta BIKRA UOE.
Huwezi kupata BIKRA rudi nyumbani omba baba zako wadogo,mjomba,au baba,babu au mashangazi wakutafutie mwanamke BIKRA UOE. Hao malaya uliokutana nao huko chuo na mtaani kazi yao ilikuwa kukutoa USHAMBA WA KITUMBUA na kukupa uzoefu.Wachukulie kama gari ya driving school pata ujuzi achia wengine.
Hekima ya kutafutiwa BIKRA NA WALIOKUZIDI ipo kwenye uzoefu( experirnce) hao wazee baba,babu,wajomba au mashangazi wameona mengi wanajua mengi hivyo hawawezi kuzuzuka na ujingaujinga ambao vijana wa kileo unawasumbu.
Vitu kama matako makubwa(wenyewe vijana wa hovyo wanaita Matako mengi),rangi ya ngozi,sura na usasa( swaga) wao wazee ni vitu vya mwisho kuviangali tofauti na vijana ambao wao ndo vitu wanaviprioritize(wanavitanguliza).
Hivyo kutafutiwa mkeo aliye BIKRA na wazee ni bora mara elfu ukiweka ndani vijana wengi bado tamaa ya ngono ipo juu hivyo maamuzi yao mengi yanakuwa hayajakomaa.
📌📌📌BIKRA WAPO ILA HAWANA VIGEZO FEKI KAMA HAO MALAYA WA MITAANI AU WAHITIMU WA CHUO(WAKE ZA WATU).
NB;Wanachuo wote wanaishi kinyumba,epuka kuoa mke wa mtu wajane wa chuo na upumbavu kama huo.Na kwa makadirio ya chini msichana wa chuo anaishi kinyumba pika pakua🔥🔥🔥 na wavulana 3 kwa miaka 3 ya degree au diploma🤗🤗🤗
📌Oa bikra hujapata bikra,KATAA NDOA. Ndoa itakuwaletea changamoto ya afya ya akili, kifo na kuyumba kiuchumi!!!!