Kuna uwezekano wa kila mwanaume kuoa mwanamke bikra?

Kuna uwezekano wa kila mwanaume kuoa mwanamke bikra?

Usitake kujifariji umeambiwa OA BIKRA ila unakazi ya kupingapinga ukichapiwa uwe mvumilivu.

Yaani nyie wavulana mnaudhaifu wa kihisia mnahisi huyo mwanamke kukutanulia mapaja basi anakupenda na wewe ni wa pekee, gentleman sikia achana na hayo magumegume tafuta BIKRA UOE.

Huwezi kupata BIKRA rudi nyumbani omba baba zako wadogo,mjomba,au baba,babu au mashangazi wakutafutie mwanamke BIKRA UOE. Hao malaya uliokutana nao huko chuo na mtaani kazi yao ilikuwa kukutoa USHAMBA WA KITUMBUA na kukupa uzoefu.Wachukulie kama gari ya driving school pata ujuzi achia wengine.

Hekima ya kutafutiwa BIKRA NA WALIOKUZIDI ipo kwenye uzoefu( experirnce) hao wazee baba,babu,wajomba au mashangazi wameona mengi wanajua mengi hivyo hawawezi kuzuzuka na ujingaujinga ambao vijana wa kileo unawasumbu.

Vitu kama matako makubwa(wenyewe vijana wa hovyo wanaita Matako mengi),rangi ya ngozi,sura na usasa( swaga) wao wazee ni vitu vya mwisho kuviangali tofauti na vijana ambao wao ndo vitu wanaviprioritize(wanavitanguliza).

Hivyo kutafutiwa mkeo aliye BIKRA na wazee ni bora mara elfu ukiweka ndani vijana wengi bado tamaa ya ngono ipo juu hivyo maamuzi yao mengi yanakuwa hayajakomaa.

📌📌📌BIKRA WAPO ILA HAWANA VIGEZO FEKI KAMA HAO MALAYA WA MITAANI AU WAHITIMU WA CHUO(WAKE ZA WATU).

NB;Wanachuo wote wanaishi kinyumba,epuka kuoa mke wa mtu wajane wa chuo na upumbavu kama huo.Na kwa makadirio ya chini msichana wa chuo anaishi kinyumba pika pakua🔥🔥🔥 na wavulana 3 kwa miaka 3 ya degree au diploma🤗🤗🤗

📌Oa bikra hujapata bikra,KATAA NDOA. Ndoa itakuwaletea changamoto ya afya ya akili, kifo na kuyumba kiuchumi!!!!
 
Wanaoendekeza mambo ya bikira wanahesabika kama jamii ambayo haijastarabika kwani wewe kama ulisoma vizuri biology unajua vema external view ya female genitalia na impact ya umri kuongezeka dhidi ya hymen.Vinginevyo walenga kuadhiri watu pasipo sababu ya msingi.
Nyie mliostaarabika ndio mnakazi ya kulea watoto wa wasiostaarabika😄😄😄endelea hivyo hivyo kuoa matako mengi na makucha yao na nywele za wafu wa Brazili.

Hao malaya tutawachapa alafu wanarudi kwenu na shombo za shahawa za wasiostaarabika nyie mlio staarabika mnakazi ya kwenda kazini kuvuja jasho alafu jioni unaambiwa hupewi k kisa mwanamke kachoka.

Wewe kwasababu umstaarabika unabaki na vichupa vyako unakazi ya kuteseka hupati usingizi. Kumbe huko malaya uliyemuoa anagawa kwa wasistaarabika mchana kutwa🤗

📌Kupanga ni kuchagua!!!
 

Nimekua nikiona washauri wengi wa masuala ya mahusiano wakitushauri wanaume kuoa wanawake bikra kwa kigezo kwamba ndio wanawake pekee ambao hawawezi chepuka kwenye ndoa zao tofauti na wale ambao wanaingia kwenye ndoa wakati tayari bikra zao zlishatolewa na wanaume wengine.

Hao wanaotushauri tuoe wanawake bikra usikute hata wao wenyewe wameoa wanawake ambao walishatolewa bikra na watu wengine ola hawawezi kusema ukweli.

Hakuna kitu kigumu kama kupata mwanamke ambae hajawahi fanya mapenzi na mwanaume mwingine katika karne hii ya utandawazi. Wasichana wengi siku hizi wanajiingiza kwenye mahusiano ya kimapenzi hata kabla hawajafikisha miaka 18 na wanajua staili zote za kufanya mapenzi kuliko hata watu wazima.

Kule kwa wala urojo tunasikia wanawake wanaolewa wakiwa na bikra zao ila bikra ya Sodoma na Gomora wanakua walishatolewa kitaaaambo. Mimi huwa nashangaa sana nikiona mtu anamshauri mwenzake kwamba aoe msichana bikra wakati bikra zenyewe zimekua adimu.

Siku hizi kwenye kundi la mabinti 50 unakuta mmoja tu au wawili ndo wenyewe bikra na wakati mwingine usipate hata mmoja mwenye bikra katika hao wasichana 50.

Ni sawa inawezekana ukawa na bahati ukapata mwenye bikra ila bado hakuna uhakika wa 100% wa kila mwanaume kupata mwanamke bikra, unaweza kumpata ambae hajatumika sana ila kupata bikra kabisa ni ngumu sana.

Binafsi sina imani kwamba ukioa bikra ndo atatulia kwenye ndoa yake, wapo waliolewa wakiwa bikra na mwishowe wamechepuka kama kawaida. Kuchepuka au kutochepukanni tabia tu ta mtu binafsi na pia malezi ya wazazi yana mchango mkubwa sana katika kumuandaa binti anaetarajia siku moja kuingia kwenye maisha ya ndoa.

Upi mtazamo wako juu ya kuoa mwanamke bikra ?
Huna imani kwa saba u wee ni mzinzi wakutupwa.
Mwana.me bikra ukioa hagegedwi zaidi ya wewe mumewe. Ebu tembelea hapo kandahar uone jinsi mataliban wanavyo enjoy na wake zao bikra....yaani unachovya wewe tuu asali. Haichakachuliwi.

Njoo bongo sasa, wanawake kutembea uchi wao kigegedwa wao kuwa micheps wao basi tunaishi kwenye jamii iliyopanga na ngono zembe.
 
Wanaume wakianza kuoa wanawake BIKRA tu na msisitizo wa mahari ni kwa BIKRA tu!!!!ni miaka michache trend itabadilika maana hakuna mwanamke atataka kuwa MSIMBE.

Na wanawake wataanza kujitunza hivyo huu umalaya utapungua au utaisha kabisa.📌📌📌Wanawake wako radhi kufanya chichote ili kuwin mioyo ya wanaume. Hii ni silaha ikitumika vizuri!!!

Saivi wanawake wa 1995 -1999 wanaongoza kwa STRESS na wengi ni USED/ MTUMBA hawana soko wengi wametumika chuo na mitaani,wengine ni MASINGO MAZA. Kijana achana na hizi LAANA kimbia tafuta vitu SEALED/BRAND NEW!!!!

📌📌📌kijana unayejitambua mwenye miaka 27-35 weka akili yako na malengo kwa wanawake kuanzia 2003 to 2008.Hawa ndio batch mpya na fresh achana na kuoa WAKE ZA WATU na WAJANE!!!!
 
Wanaume wakianza kuoa wanawake BIKRA tu na msisitizo wa mahari ni kwa BIKRA tu!!!!ni miaka michache trend itabadilika maana hakuna mwanamke atataka kuwa MSIMBE.

Na wanawake wataanza kujitunza hivyo huu umalaya utapungua au utaisha kabisa.📌📌📌Wanawake wako radhi kufanya chichote ili kuwin mioyo ya wanaume. Hii ni silaha ikitumika vizuri!!!

Saivi wanawake wa 1995 -1999 wanaongoza kwa STRESS na wengi ni USED/ MTUMBA hawana soko wengi wametumika chuo na mitaani,wengine ni MASINGO MAZA. Kijana achana na hizi LAANA kimbia tafuta vitu SEALED/BRAND NEW!!!!

📌📌📌kijana unayejitambua mwenye miaka 27-35 weka akili yako na malengo kwa wanawake kuanzia 2003 to 2008.Hawa ndio batch mpya na fresh achana na kuoa WAKE ZA WATU na WAJANE!!!!
Hapo 03 adi 08 uongo siku hizi sio batch mpya
 

Hii Mechi Bikra imeanza mapema leo 🤣🤣
Mzabzab ana shot on target 2
Line woman Ms R jua linamzuia kuona vizuri hajui nani anaotea 🤣🤣🤣
Namuona Noah Scribe mshabiki ndakindaki wa mechi hiii
 
Waliooa used na walioolewa used wanatafuta kila mbinu ku discredit na kuhalalisha uzizi.

KAMA UMEOA ASIYE BIKRA NI KUA KUNA KIDUME/VIDUME WAMESHAIPIGA HIYO KITU, period.
📌💪🤣🤣🤣ukweli mchungu ni swala la muda tu lazima watapigwa na kitu kizito kichwani.

📌Kama hujaoa BIKRA, UMEOA MALAYA.Ukichapiwa ukae kwa kutulia.

📌Kama UMEOA SINGO MAZA,wewe ni mjinga wa mwisho na UNALAANA YA UKOO WENU!!!Na hapo mtaani kwako kuna mwamba huwa anakusaidia😄😄😄

📌Wanaotakiwa kulalamika wamechapiwa ni wale waliooa BIKRA tu,nyie mlioa MASINGO MAZA NA MALAYA( WANACHUO/GRADUATES) hamna haki ya kulalamika hayo mnayopitia ni mavuno ya ujinga mliozaliwa nao.
 
Huna imani kwa saba u wee ni mzinzi wakutupwa.
Mwana.me bikra ukioa hagegedwi zaidi ya wewe mumewe. Ebu tembelea hapo kandahar uone jinsi mataliban wanavyo enjoy na wake zao bikra....yaani unachovya wewe tuu asali. Haichakachuliwi.

Njoo bongo sasa, wanawake kutembea uchi wao kigegedwa wao kuwa micheps wao basi tunaishi kwenye jamii iliyopanga na ngono zembe.
Mataliban ni wakina nani?
 
Watu washakula mpaka minduku ya wanyama kuna nini tena, haya mambo ya bikra wajidili watu ambao hawana experience ya kuvuana vyupi.
 
Back
Top Bottom