Jaribu kwanza mikwa s6 edge+ inawezekana kweli?
Mimi nimewahi kuiona kwenye tecno P2kwa s6 edge+ inawezekana kweli?
Hizo juuhamna ambayo unaachia simu inarecord yenyewe bila kuishikilia?
Ulete mrejesho tuone matokeongoja nijaribu hiyo viva video nione
Kwani camera yake og inagoma?yawezekana,maana niliwahi kuwa na tecno m3 ilikua ikikubali app flani nzuri sana,ila nmekuja otafuta ile app nitumie kwenye hizi latest phones ikanigomea..
Ila kuna baadhi ya cm zinarecodi bila hata ya kutumia appHii wakina dada wanafanya sana huwenda wanatumia snapchat au tiktok jaribu hizo app.
We ni mkaka sio?!Nahisi kuna application ipo ya kufanya hivo..naonaga wadada wengi wanafanyaga hivo..
MI NI MKAKA
Nayeye ni mkaka. Kina mkaka mmekutanaNahisi kuna application ipo ya kufanya hivo..naonaga wadada wengi wanafanyaga hivo..
MI NI MKAKA