Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Link Ya pilinaomba nisaidie kujua pakupata mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Link Ya pilinaomba nisaidie kujua pakupata mkuu
Kwanza hakikisha unaondoa iliyopo, alafu kama huna torrent downloader app tumia direct download. Hizo ni app moja lkn version mbili tofautinaomba nisaidie kujua pakupata mkuu
Kweli mkuuNaombeni msaada ndugu zangu,natumia samsung s6 edge plus,tatizo nililo nalo ni wakati wa kirekodi video huwa natamani audio iwe ina play lakini matokeo yake nikiplay audio Nikigusa video record Ile audio ina acha kuendelea kuimba.
Hii inanifanya nashndwa kucheza huku nikijirekodi,nataka kujirekodi nikicheza na audio itoke kwenye simu na sio kwenye redio yangu ya ndani, wenye ujuzi wa namna ya kufanya ili kuniwezesha kufanya hili nitashukuru.
Asante.
Ipo app maalumNaombeni msaada ndugu zangu,natumia samsung s6 edge plus,tatizo nililo nalo ni wakati wa kirekodi video huwa natamani audio iwe ina play lakini matokeo yake nikiplay audio Nikigusa video record Ile audio ina acha kuendelea kuimba.
Hii inanifanya nashndwa kucheza huku nikijirekodi,nataka kujirekodi nikicheza na audio itoke kwenye simu na sio kwenye redio yangu ya ndani, wenye ujuzi wa namna ya kufanya ili kuniwezesha kufanya hili nitashukuru.
Asante.
App inaitwa InShot sema, Unatakiwa ujirecord video unaimba afu ndo uje uunganishe ile video na audio kupitia InShot! Zipo programs nyingi tu zinafanya hii kazi..Naombeni msaada ndugu zangu,natumia samsung s6 edge plus,tatizo nililo nalo ni wakati wa kirekodi video huwa natamani audio iwe ina play lakini matokeo yake nikiplay audio Nikigusa video record Ile audio ina acha kuendelea kuimba.
Hii inanifanya nashndwa kucheza huku nikijirekodi,nataka kujirekodi nikicheza na audio itoke kwenye simu na sio kwenye redio yangu ya ndani, wenye ujuzi wa namna ya kufanya ili kuniwezesha kufanya hili nitashukuru.
Asante.
Tumia YouCut hina logo..Viva Video imekubali kufanya nilichokua natamani kifanyike ila shida kwasababu sijainunua naitumia kama trial ina record video ya dk 5 tu..
ila nimefurahi kuipata hii app itanisaidia hata kwa hzi dk 5 wanazotoa kufanya vitu vitu flani...