Kuna uwezekano wa mimba hapa kweli?

Kuna uwezekano wa mimba hapa kweli?

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2008
Posts
54,762
Reaction score
59,204
Wakuu habarini zetu,naombeni mawazo yenu wakuu. Demu nilitembea naye TR 3 na TR 4..na yeye siku zake za kuwa mwezini ni tarehe 28. Sasa demu ananiambia hajisikii vizuri .. Ndio nataka kujua kuwa kuna uwezekano wa mimba hapa kwa wataalamu..nilitumia mipira lakini si unajua uwezekano ni mkubwa sana tu.
 
Mzee kipimo cha mimba ni very cheap...mchukue mkapime tu sio lazima iwe thread mtu wangu
 
Inawezekana tu akawa amepata mimba kutoka kwako AU anakubambikia.Kuhusu kuhesanu tarehe hiyo husitumie kabisa kwani uchafu(damu) upatikanao kwa tarehe husika huwa ni mayai yaliyopasuka baada ya kukosa manii kutoka kwa me .Hivyo mayai yanaweza kutegeshea kwa siku kadhaa na ikitokea yakakosa manii kwa siku hizo hupasuka ambayo ndiyo damu.hapa watu wengi hukosea kwa kudhani tarehe ya mwezini kwa akina dada kudhani ndiyo siku hatari wakati siku hatari ni kuhesanu siku 7 before na 7 after .take care
 
Wakuu habarini zetu,naombeni mawazo yenu wakuu. Demu nilitembea naye TR 3 na TR 4..na yeye siku zake za kuwa mwezini ni tarehe 28. Sasa demu ananiambia hajisikii vizuri .. Ndio nataka kujua kuwa kuna uwezekano wa mimba hapa kwa wataalamu..nilitumia mipira lakini si unajua uwezekano ni mkubwa sana tu.

tar 28 ya mwezi gani mkuu....na ana mzunguko wa siku ngapi......?hebu weka vizuri tukuchakachulie mahesabu shalaa
 
Mzee kipimo cha mimba ni very cheap...mchukue mkapime tu sio lazima iwe thread mtu wangu
tutaenda kupima manake hata yeye mwenyewe anaweza kujipima ila nilikuwa nataka kuhakiki kupitia mzunguko wa siku zake bro
 
Kijana Acha kuonja onja hovyo, kwa nini usioe??? Ukioa akawa wako wako hiyo hofu haitokuwapo, kwani badala ya hofu utakuwa na furaha tele na kujiamini kuwa ni kidume cha mbegu!!!!!!!!!
 
hongera jibaba. tutafrahi sana kuona unatuletea mshabiki wa simba junior. Simba oyeee! Yanga ziiiiiii
 
Kwanini hukutumia kondom, je hujui kuwa mimba ni hatari kuliko ukimwi?
Wakuu habarini zetu,naombeni mawazo yenu wakuu. Demu nilitembea naye TR 3 na TR 4..na yeye siku zake za kuwa mwezini ni tarehe 28. Sasa demu ananiambia hajisikii vizuri .. Ndio nataka kujua kuwa kuna uwezekano wa mimba hapa kwa wataalamu..nilitumia mipira lakini si unajua uwezekano ni mkubwa sana tu.
 
Kwa nini mkuu unachakachua bila kondomu!wewe ni mzembe!!acha kufanya ngono zembe,tutakupoteza mkuu!!
 
nadhani tr 28 ya kila mwezi ...ila jana kaniambia atapata siku zake tarehe 28

haiwezekani iwe kila tar 28 lazima ipite au iwahi ni mara chache sana kuwa tar hiyo hiyo....however.......hizo tar ulizommega uwezekano wa kupata haupo...lets say ilikuwa nov 28 na anakuwa kwenye hedhi siku 3 au 4, tarehe zake za danger zitakuwa tar 8 mpaka 14 au 15 then kuanzia hapo ni mteremko tena mpaka tar 26 dec ndio ataona siku zake........okaaaaay
 
haiwezekani iwe kila tar 28 lazima ipite au iwahi ni mara chache sana kuwa tar hiyo hiyo....however.......hizo tar ulizommega uwezekano wa kupata haupo...lets say ilikuwa nov 28 na anakuwa kwenye hedhi siku 3 au 4, tarehe zake za danger zitakuwa tar 8 mpaka 14 au 15 then kuanzia hapo ni mteremko tena mpaka tar 26 dec ndio ataona siku zake........okaaaaay

mbona unaweka kauzibe bana! au mshabiki wa yanga wewe?
 
hongera jibaba. tutafrahi sana kuona unatuletea mshabiki wa simba junior. Simba oyeee! Yanga ziiiiiii

umesemaje?....yanga ziiiii?....huli dinner leo nakwambia....ukale huko huko simba
 
mbona unaweka kauzibe bana! au mshabiki wa yanga wewe?

he!! kwa hiyo klorokwini unataka demu wangu awe na mimba lol!! pbado mapema mkuu sema mambo ya kuabort ndio hayatakuwepo kabisa h
 
Back
Top Bottom