Kuna uwezekano wa mtu kufungua Taasisi/Shirika la Viwango la binafsi?

KALINZI NYUMBANI

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2015
Posts
1,797
Reaction score
1,594
Je kunauwezekano mtu binafsi kufungua kampuni inayofanya kazi Kama za Tbs?, Ili kazi zinazofanywa na Tbs ziweze kufanywa na kampuni binafsi?. Utaratibu ukoje?.Naombeni mnisaidie mi niko huku kijijini Kuna ela zimenitembelea sasa nilitaka niwekeze katika tbs ndogo.
 
Asante kiongozi.
 
Ungetusaidia Sana kupunguza bureaucracy ya pale Ubungo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…