Kuna Vibaka nawaona kabisa wanakula Rada Dirisha la Gheto langu, tafadhalini nichagulieni Adhabu ya kuwapa ambayo hawatoisahau Milele

Pepper spray ndio dawa yao kisha unainamisha mmoja baada ya mwingine.
Kwa kifupi mwizi yeyote ana elements za kishoga kupenda vitu vya watu bure bure..!
Inamisha wangese hao..))
 
NIMEKUMBUKA KISA CHA KWELI CHA JIRANI[emoji23]


Kuna mzee mmoja askari magereza alivamiwa na wezi na walitaka kumuiibia mifugo yake.

Mzee kucheki dirishani anaona vijana 4 akaona siyo kweli nkitoka nje naweza nkapigwa mimi na hawa wezi.

Akaamua atumie trick ya Cuba akaenda chini ya kitanda akaokota panga lake akasogea mpka dirishani na kuanza kulinoa panga taratibu akiwa ndani ya nyumba.

Wezi wakastuka katika harakati za kusikilizia kama mwamba atafanya nini tena, wakasikia mzee anamwambia mke wake kwa sauti kubwa kuwa “NITUNZIE WATOTO WANGU VIZURI NA NIOMBEE MUNGU APOKEE ROHO YANGU KWAMAANA NAENDA KUFA NA HAWA WEZI”

[emoji23][emoji23]
Wale was.enge walichimba dakika hiyhiyo
 

Sema nini popoma…!!
Ni vile nimechelewa kuja hapa!
Ila namba 7 imekaa poa mkatoliki mwenzangu, tofauti ni kuwa wewe hujuo kupiga kinanda wala kusoma nota!
Kesho uje ibada ya sa nne unione navyobonya pedal, na utabarikiwa sana na sebene la shukrani ambalo ni utunzi wangu kabisa, nilioumiza kichwa kwa zaidi ya mwezi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…