Kuna Video vixen ni watamu balaa, wananiumiza roho mwenzenu

Kuna Video vixen ni watamu balaa, wananiumiza roho mwenzenu

Pesa hainunui kila kitu wewe ivi mfano umepata mipesa ukawa una lifestyle mbovu ukapata ugonjwa wa kisasa daktari akakuambia una siku kumi tu za kuishi pesa zako zitasaidia nini hapo?
Watu wengi hufa na Magonjwa mengi sababu ya umasikini.
Kuna raia wengi sanaa wapo kila angle ya Dunia wakihangaika kuomba matibabu kisa HAWANA PESA.

#YNWA
 
hahahaha achana ngoma mzee
demu mkali sana huyo, nna clips zake kadhaa napigia nyeto daily
akinipa sikatai,
Sikujua kama kumpata mtu pm ya jf ni ngumu kiasi hiki ni kama kuonana na mkuu wa intelligence Tz. Nimekufata pm kuhusu hizi dhambi za Uwoya tushirikiane kumuombea naona mlolongo unakuwa mrefu sana
 
Ukipata mpunga jaribu kuja kutembea huku tabata kuna viwanja kama Nextdoor,kitambaa cheupe,the great lounge,barakuda pub, Obama bar, VIP lounge kaitesi liquor,PK sport lounge,kwa mjumbe,dar West,last call,fodepub,Mr wine,kingdom, alebush pub,segerea lounge n.k

Kuna watoto wakali wa kumwaga tu
 
Back
Top Bottom