Kuna vimaneno nikikuona unavitumia basi moja kwa moja nakuweka kwenye kundi baya

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na itakuja tu [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Nasubiri ije nyingine ya mnaotumia hvyo viemoj vya fire[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Lugha inakua kwa maneno ya mtaani mfano matapeli lilianzia kwa wahuni siku moja Mwl Nyerere akalitumia kwenye hotuba
 
hahahahaha upo msokoto wa ngapi hapo?
 
utajitenga na wangapi kwa kizazi hiki kisichopenda kuongea lugha fasaha?
 
Ebu ngoja nihesabu yaani sikumbuki[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
hahahahaha upo msokoto wa ngapi hapo?
 
Wewe utakuwa hutaki watoto wa kike under25 esp walio vyuoni weweeee wabichiiiii watamuuuuu wanaitaga swag.
 
Mtoa mada kumbe vi-maneno vyenyewe ndio hivyo ,ukikutana navyotena usilete Uzi wa kindezi kama huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…