Kuna viongozi wa dini kwenye nyumba za Ibada, wanaongoza sala ya kuzuia mkataba wa DP, ajabu wakitoa maoni mbele ya makamera, wanaunga mkono

Nsanzagee

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2023
Posts
2,209
Reaction score
4,769
Baadhi ya viongozi wa Dini huwenda hawana Roho wa kweli,

Hawana msimamo, hawaelewi maelekezo ya Mungu kuhusu mambo ya watu wao, nchi yao na hata mambo yao wenyewe

Haiwezekani kama kiongozi wa dini, ukiwa kwenye nyumba ya Ibada, unaongoza watu maombi ya kuzuia mkataba wa DPWORD

Ajabu ukiitwa kwenye tume ya amani, unageuka na kuwa upande wa wa watia saini mkataba wa dp world, na ambapo ukiwa ndani ya Ibada unaamrisha fire kwamba, Dp world ipigwe fire

Mnatuonaje lakini sisi wafuasi wenu? Mbona hamna msimamo?

Tuwaeleweje?

Hata hivyo, wananchi tumeshaamua moja! Dp world hatuitaki, mpaka watakaporekebisha mkataba
 
Hao sio wenzio nduguπŸ€”.Wewe pambana na hali yako tu.πŸƒπŸƒπŸƒ
 
Watu wangu wanaangamia kwa ukosefu wa maarifa.
 
Ili uishi bongo inabidi ujue useme nini, wakati gani na mahali gani. Wanatumia falsafa ya maji, hubadilika umbo kutokana na wapi umeyahifadhi, vivo hivyo maoni yao hubadilika kutokana na wasikilizajiπŸ’
 
Join Kwa Mchungaji Mbarikiwa hatokuangusha.πŸ™πŸ™πŸ™
 
Baadhi ya viongozi wa Dini huwenda hawana Roho wa kweli,

H

Hata hivyo, wananchi tumeshaamua moja! Dp world hatuitaki, mpaka watakaporekebisha mkataba
Usiwashangae hao. Chuo kimoja kilishafanya tafiti kuwa watanzania kwenye unafiki tuko juu kabisa mawinguni
 

Wakiitwa kwenye mikutano na serikali huwa wanapewa bahasha za kaki.
 
Hao ni wajua tumbo hawana lolote
 
Hao ni wajua tumbo hawana lolote
 
Mkuu wewe pambana na hali yako, unaposema sisi wananchi unamaanisha wewe na nani na nani? Sema sisi ambao hatuna ulaji. Hii nchi ngumu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…