Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Hakuna jambo la kibabe alilofanya mama kama kuharibia watu mwaliko wa Pasaka.
Kuna watu wamegoma kwenda kanisani kwa sababu title zao zimebadilika au hazipo tena.
Wengine walitamani madereva wawapeleke sehemu ila wanaamini wao sio mabosi wa hao madereva tena. Wapo waliowaalika wananchi na familia kwa mkuu wa mkoa au wilaya ila asubuhi wanabaini wao siyo wakuu wa wilaya, siyo mawaziri wala makatibu wakuu tena
Hii hali naifananisha na kifo, usipojiandaa na kumkabidhi Mungu Maisha yako kikifika unaondoka. Usipokanidhi magari ya serikali saa tisa na nusu utalazimishwa kuyakabidhi ukiwa usingizini.
Lakini pia, Busara ilipaswa kumwambia mama hawa watu wana ratiba yakutoa salam za pasaka wavumilie hadi misa ziishe. Ila ndio vile tena. Acheni familia ziishe kwenye nyumba zenu kuepuka aibu yakutimuliwa siku sikukuuu.
Je siku ya Eid nayo itavutugwa au hali itakuwa shwari?
Kuna watu wamegoma kwenda kanisani kwa sababu title zao zimebadilika au hazipo tena.
Wengine walitamani madereva wawapeleke sehemu ila wanaamini wao sio mabosi wa hao madereva tena. Wapo waliowaalika wananchi na familia kwa mkuu wa mkoa au wilaya ila asubuhi wanabaini wao siyo wakuu wa wilaya, siyo mawaziri wala makatibu wakuu tena
Hii hali naifananisha na kifo, usipojiandaa na kumkabidhi Mungu Maisha yako kikifika unaondoka. Usipokanidhi magari ya serikali saa tisa na nusu utalazimishwa kuyakabidhi ukiwa usingizini.
Lakini pia, Busara ilipaswa kumwambia mama hawa watu wana ratiba yakutoa salam za pasaka wavumilie hadi misa ziishe. Ila ndio vile tena. Acheni familia ziishe kwenye nyumba zenu kuepuka aibu yakutimuliwa siku sikukuuu.
Je siku ya Eid nayo itavutugwa au hali itakuwa shwari?