Kuna viongozi wanahujumu miradi ya SGR wakiwaza biashara zao za mabasi na malori zisife. Muda si mrefu tutaburuzwa mahakamani kwa kukiuka mkataba

Kuna viongozi wanahujumu miradi ya SGR wakiwaza biashara zao za mabasi na malori zisife. Muda si mrefu tutaburuzwa mahakamani kwa kukiuka mkataba

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Gharama kubwa za kodi za wananchi zimetumika. Lakini wapo viongozi ambao wametumia ofisi za umma kukwamisha miradi ya SGR kwa malumbano yasiyo na tija.

Ukijiuliza wananufaike utasikia wanamiliki mabasi na malori ya mizigo na hivyo miradi hii inakuja kuwaondolea abiria na mizigo. Lakini pia wanaambatanisha hujuma zao na kauli kwamba wana mikopo ambayo endapo SGR itakamilika kwa wakati na kuanza kutoa huduma basi watashindwa kulipa mikopo yao.

Watu hawa wana nguvu sana, wamekwenda kwa watumishi wa umma na kuwatengenezea hofu wasiruhusu kazi kufanyika kwa kasi inayotakiwa.. Wamemega hata baadhi ya fedha za fidia wananchi walipwe fidia kidogo lengo ni wao kugombanisha serikali na wananchi. Mfano mzuri ni fidia eneo la tabora , mtu analipwa fidia laki mbili na hakuna kuhoji.

Niombe watumishi wa umma watambue Mhe. Rais anaona wanavyomkwamisha. Siku si nyingi makatibu wakuu wataondolewa ofisini, na hata wanasiasa mawaziri wataondolewa ofisini kwa kukwamisha miradi hii.

Kama serikali ilijua hakuna fedha kwanini waliingia mikataba hadi Mwanza badala ya kukamilisha miradi ya awali? Au ndio kusambaza rasilimali kazi ya mwaka ifanyike miaka kumi? Tuweni wazalendo pls
 
Gharama kubwa za kodi za wananchi zimetumika. Lakini wapo viongozi ambao wametumia ofisi za umma kukwamisha miradi ya SGR kwa malumbano yasiyo na tija.

Ukijiuliza wananufaike utasikia wanamiliki mabasi na malori ya mizigo na hivyo miradi hii inakuja kuwaondolea abiria na mizigo. Lakini pia wanaambatanisha hujuma zao na kauli kwamba wana mikopo ambayo endapo SGR itakamilika kwa wakati na kuanza kutoa huduma basi watashindwa kulipa mikopo yao.

Watu hawa wana nguvu sana, wamekwenda kwa watumishi wa umma na kuwatengenezea hofu wasiruhusu kazi kufanyika kwa kasi inayotakiwa.. Wamemega hata baadhi ya fedha za fidia wananchi walipwe fidia kidogo lengo ni wao kugombanisha serikali na wananchi. Mfano mzuri ni fidia eneo la tabora , mtu analipwa fidia laki mbili na hakuna kuhoji.

Niombe watumishi wa umma watambue Mhe. Rais anaona wanavyomkwamisha. Siku si nyingi makatibu wakuu wataondolewa ofisini, na hata wanasiasa mawaziri wataondolewa ofisini kwa kukwamisha miradi hii.

Kama serikali ilijua hakuna fedha kwanini waliingia mikataba hadi Mwanza badala ya kukamilisha miradi ya awali? Au ndio kusambaza rasilimali kazi ya mwaka ifanyike miaka kumi? Tuweni wazalendo pls
Hayo yote yanawezekana tu nchi inapokuwa na kiongozi mpumbavu

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Hii ina fanana na Mwl Nyerere hydro electric power sidhani kama itakamilika ile kitu.
 
Kwa sasa mabasi na malori mengi yanamilikiwa na;
1.Wanasiasa wakubwa!
2.Mawaziri na Makatibu wengi sana!
Kwa mustakabali huu wa watu hawa ambao pia ni watunga SERA ni ngumu sana reli ya SGR ikafanya kazi kwa asilimia 100.

RIP Magufuli
 
Gharama kubwa za kodi za wananchi zimetumika. Lakini wapo viongozi ambao wametumia ofisi za umma kukwamisha miradi ya SGR kwa malumbano yasiyo na tija.

Ukijiuliza wananufaike utasikia wanamiliki mabasi na malori ya mizigo na hivyo miradi hii inakuja kuwaondolea abiria na mizigo. Lakini pia wanaambatanisha hujuma zao na kauli kwamba wana mikopo ambayo endapo SGR itakamilika kwa wakati na kuanza kutoa huduma basi watashindwa kulipa mikopo yao.

Watu hawa wana nguvu sana, wamekwenda kwa watumishi wa umma na kuwatengenezea hofu wasiruhusu kazi kufanyika kwa kasi inayotakiwa.. Wamemega hata baadhi ya fedha za fidia wananchi walipwe fidia kidogo lengo ni wao kugombanisha serikali na wananchi. Mfano mzuri ni fidia eneo la tabora , mtu analipwa fidia laki mbili na hakuna kuhoji.

Niombe watumishi wa umma watambue Mhe. Rais anaona wanavyomkwamisha. Siku si nyingi makatibu wakuu wataondolewa ofisini, na hata wanasiasa mawaziri wataondolewa ofisini kwa kukwamisha miradi hii.

Kama serikali ilijua hakuna fedha kwanini waliingia mikataba hadi Mwanza badala ya kukamilisha miradi ya awali? Au ndio kusambaza rasilimali kazi ya mwaka ifanyike miaka kumi? Tuweni wazalendo pls
Nyeusi tuite nyeusi hao viongozi wote ni kutoka chama chawala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gharama kubwa za kodi za wananchi zimetumika. Lakini wapo viongozi ambao wametumia ofisi za umma kukwamisha miradi ya SGR kwa malumbano yasiyo na tija.

Ukijiuliza wananufaike utasikia wanamiliki mabasi na malori ya mizigo na hivyo miradi hii inakuja kuwaondolea abiria na mizigo. Lakini pia wanaambatanisha hujuma zao na kauli kwamba wana mikopo ambayo endapo SGR itakamilika kwa wakati na kuanza kutoa huduma basi watashindwa kulipa mikopo yao.

Watu hawa wana nguvu sana, wamekwenda kwa watumishi wa umma na kuwatengenezea hofu wasiruhusu kazi kufanyika kwa kasi inayotakiwa.. Wamemega hata baadhi ya fedha za fidia wananchi walipwe fidia kidogo lengo ni wao kugombanisha serikali na wananchi. Mfano mzuri ni fidia eneo la tabora , mtu analipwa fidia laki mbili na hakuna kuhoji.

Niombe watumishi wa umma watambue Mhe. Rais anaona wanavyomkwamisha. Siku si nyingi makatibu wakuu wataondolewa ofisini, na hata wanasiasa mawaziri wataondolewa ofisini kwa kukwamisha miradi hii.

Kama serikali ilijua hakuna fedha kwanini waliingia mikataba hadi Mwanza badala ya kukamilisha miradi ya awali? Au ndio kusambaza rasilimali kazi ya mwaka ifanyike miaka kumi? Tuweni wazalendo pls
Hili lilinipita kumbe wameshaanza kulipa fidia kwa wakazi wa Tabora?
 
Hao Viongozi wakae mkao, utayari, wa kwenda kuvaa magwanda ya Gerezani.

Tatizo, hata Viongozi wa Vyama vingine vya Siasa nao wanawaza hayo hayo, kutumia ofisi za umma na madaraka na nguvu zinazokuja nazo.

Mbadala ni mageuzi na mapinduzi ya haraka ndani ya vyama vyote.

....Chagueni kwa Umakini na Uangalifu Uchaguzi mkuu 2025
 
Gharama kubwa za kodi za wananchi zimetumika. Lakini wapo viongozi ambao wametumia ofisi za umma kukwamisha miradi ya SGR kwa malumbano yasiyo na tija.

Ukijiuliza wananufaike utasikia wanamiliki mabasi na malori ya mizigo na hivyo miradi hii inakuja kuwaondolea abiria na mizigo. Lakini pia wanaambatanisha hujuma zao na kauli kwamba wana mikopo ambayo endapo SGR itakamilika kwa wakati na kuanza kutoa huduma basi watashindwa kulipa mikopo yao.

Watu hawa wana nguvu sana, wamekwenda kwa watumishi wa umma na kuwatengenezea hofu wasiruhusu kazi kufanyika kwa kasi inayotakiwa.. Wamemega hata baadhi ya fedha za fidia wananchi walipwe fidia kidogo lengo ni wao kugombanisha serikali na wananchi. Mfano mzuri ni fidia eneo la tabora , mtu analipwa fidia laki mbili na hakuna kuhoji.

Niombe watumishi wa umma watambue Mhe. Rais anaona wanavyomkwamisha. Siku si nyingi makatibu wakuu wataondolewa ofisini, na hata wanasiasa mawaziri wataondolewa ofisini kwa kukwamisha miradi hii.

Kama serikali ilijua hakuna fedha kwanini waliingia mikataba hadi Mwanza badala ya kukamilisha miradi ya awali? Au ndio kusambaza rasilimali kazi ya mwaka ifanyike miaka kumi? Tuweni wazalendo pls
Nilivyoona matajiri wote wa usafiri wanashusha mabus na malori mapya kama kushindana basii nilishajua hakuna cha sgr tena inaweza chukua hadi miaka 20 kukamilika huu mradi..
 
Gharama kubwa za kodi za wananchi zimetumika. Lakini wapo viongozi ambao wametumia ofisi za umma kukwamisha miradi ya SGR kwa malumbano yasiyo na tija.

Ukijiuliza wananufaike utasikia wanamiliki mabasi na malori ya mizigo na hivyo miradi hii inakuja kuwaondolea abiria na mizigo. Lakini pia wanaambatanisha hujuma zao na kauli kwamba wana mikopo ambayo endapo SGR itakamilika kwa wakati na kuanza kutoa huduma basi watashindwa kulipa mikopo yao.

Watu hawa wana nguvu sana, wamekwenda kwa watumishi wa umma na kuwatengenezea hofu wasiruhusu kazi kufanyika kwa kasi inayotakiwa.. Wamemega hata baadhi ya fedha za fidia wananchi walipwe fidia kidogo lengo ni wao kugombanisha serikali na wananchi. Mfano mzuri ni fidia eneo la tabora , mtu analipwa fidia laki mbili na hakuna kuhoji.

Niombe watumishi wa umma watambue Mhe. Rais anaona wanavyomkwamisha. Siku si nyingi makatibu wakuu wataondolewa ofisini, na hata wanasiasa mawaziri wataondolewa ofisini kwa kukwamisha miradi hii.

Kama serikali ilijua hakuna fedha kwanini waliingia mikataba hadi Mwanza badala ya kukamilisha miradi ya awali? Au ndio kusambaza rasilimali kazi ya mwaka ifanyike miaka kumi? Tuweni wazalendo pls
Yote hii ni kutokana na kiongozi mkuu kutokuwa na maono
 
Kwa sasa mabasi na malori mengi yanamilikiwa na;
1.Wanasiasa wakubwa!
2.Mawaziri na Makatibu wengi sana!
Kwa mustakabali huu wa watu hawa ambao pia ni watunga SERA ni ngumu sana reli ya SGR ikafanya kazi kwa asilimia 100.

RIP Magufuli
Hivi mwendazake hakuwa na malori?
 
Kule Marekani Serikali yao inaitwa Biden administration ikimaanisha kuwa Biden anawajibika kwa yote yanayotokea bila ya kujalisha kuwa ni mazuri au ni mabaya lakini ukija huku kwa Mapaka ambapo wananchi wake hawajitambui utasikia "kuna viongozi wanahujumu" sijui nini nini!!

Hakuna cha viongozi wala nini,ukweli ni kwamba tupo kwenye Serikali ya Samia(Samia administration) na yeye ndiye anaewajibika kwa kila kitu kinachotokea bila ya kujalisha kuwa ni kizuri au ni kibaya.
 
Kule Marekani Serikali yao inaitwa Biden administration ikimaanisha kuwa Biden anawajibika kwa yote yanayotokea bila ya kujalisha kuwa ni mazuri au ni mabaya lakini ukija huku kwa Mapaka ambapo wananchi wake hawajitambui utasikia "kuna viongozi wanahujumu" sijui nini nini!!

Hakuna cha viongozi wala nini,ukweli ni kwamba tupo kwenye Serikali ya Samia(Samia administration) na yeye ndiye anaewajibika kwa kila kitu kinachotokea bila ya kujalisha kuwa ni kizuri au ni kibaya.
Ndo maana ya katiba mpya ili I state bila kupepesa macho hafu akifanya fyongo tunazoziona tunasukumiza kupitia mlango wa uani
 
Back
Top Bottom